Haya ndio maneno!
Njoo PM siku hizi babu yako anatumia google translator nikiandika kiarabu anatafsiri![]()


kwahiyo hapa unaogopa?Hata huko PM ntawafurumua tuHaya ndio maneno!
Njoo PM siku hizi babu yako anatumia google translator nikiandika kiarabu anatafsiri![]()



Yeah!Nina chogo hivi afu kusuka najifanya sitaki? Lenie ninaniliu basi ata nianze kusuka kwanini unaniwacha hivi!!View attachment 2036582



Ombi langu la kadi ya tarehe 25,bado sijajibiwa au hadi nilie khaaa!Nina chogo hivi afu kusuka najifanya sitaki? Lenie ninaniliu basi ata nianze kusuka kwanini unaniwacha hivi!!View attachment 2036582

🤣🤣🤣 Na ngata tena? Hizo dhambi ni zako mwenyeweNgata kama ngata🤣🤣🤣
Ila D si nimekwambia dhambi nilizonazo zinanitosha jamani.
Usiniongezee nyingne pls usiku huu mie😂😂