Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtakula madagascar tu,
Tanganyika ni ya kwangu



Katika vitu watu wa mikoa yetu wanajitahidi basi ni kukirimu wageni.
Yaani wanaweza kumpa mgeni sufuria zima la nyama,wao wapate kidogo.
Wee kumbe ni kweli nasikiaga hivyo,
 
cocastic una wenge kinyama yani inaonekana kama una msela hakupelekei moto shazi anakuwashia tu mabua. Nikama vile kipururu kimejaa vichupa shente mpaka umewehuka.

Tuliza wenge mtoto wa kike una kiraru mbaya mbovu mpaka unakata stimu asee.
hivi jaman kwa comment km hii mtu akijibu vibaya anaonekana mkosaji? Ifike hatua huyo cocastic mumuache apumue bas mbna mnampa heka heka iv?

Ahsante buddy kukaa kimya pia ni jibu, ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom