Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,181
Nimeangalia hii picha nikajikuta napiga muayo na mimi hapaš
Nimeangalia hii picha nikajikuta napiga muayo na mimi hapaš
Wee kumbe ni kweli nasikiaga hivyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtakula madagascar tu,
Tanganyika ni ya kwangu[emoji38]
Katika vitu watu wa mikoa yetu wanajitahidi basi ni kukirimu wageni.
Yaani wanaweza kumpa mgeni sufuria zima la nyama,wao wapate kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki huko mie.
𤣠uzeeni nitasukaje wakati natakiwa kuwa busy na bustaniHahaa serious eti, utasuka badae badae ukianza kuzeekaš
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Kuna mtu kapost hiyo meme na haya maneno hapa chini
Husband material ananyoa upara[emoji38]
Ukiona mtu ana nywele nyingi kama za mwanamke huyo ni tapeli[emoji38]
Aki haujapona vizuriššView attachment 2036618
Sahv walau nimepona ukichaa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mida yenyewe hii aaaaaahNimeangalia hii picha nikajikuta napiga muayo na mimi hapa[emoji2]
Mjini huu ni ujanja wii au hujui wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asalaleeee... Huo ni ushamba sio ujanja.
Hahaaa basi utaweka ngata𤣠uzeeni nitasukaje wakati natakiwa kuwa busy na bustani
Nimechelewa sana kuja mjini.Mjini huu ni ujanja wii au hujui wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute amekuzidi hadi wewe hicho kitita cha nywele[emoji38]
Ni matapeli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila watunga meme Mungu anawaona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Si unajua vile mfungwa hachagui gareza[emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki huko mie.
Kwa karne hii hapana kwa kweliHahaaa basi utaweka ngata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi jaman kwa comment km hii mtu akijibu vibaya anaonekana mkosaji? Ifike hatua huyo cocastic mumuache apumue bas mbna mnampa heka heka iv?cocastic una wenge kinyama yani inaonekana kama una msela hakupelekei moto shazi anakuwashia tu mabua. Nikama vile kipururu kimejaa vichupa shente mpaka umewehuka.
Tuliza wenge mtoto wa kike una kiraru mbaya mbovu mpaka unakata stimu asee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni bakhiri sana kwan cc?Siku nitakayoharibu vioo nadhani ndio itakuwa mwisho wa kutumia hizi simu.
Siwezi toa laki mimi kutengeneza kioo..heri ninunue itel ya laki.
Nimepona bana!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]Aki haujapona vizuri[emoji23][emoji23]
Niko macho. Asikulaghai huyo Ostaadh! Kwa nini unataka ukawe mke wa tatu? Na uzuri wako wote huo? Why? [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usinisemee babu yangu sawa?
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Huyu ostadhi nilishamkataaga kitambo sana[emoji3]Niko macho. Asikulaghai huyo Ostaadh! Kwa nini unataka ukawe mke wa tatu? Na uzuri wako wote huo? Why? [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Wala kwenye chogo sikufika. Nisikudanganye mjukuu [emoji16][emoji16]Umelikubali ilo chogo pipi?! [emoji14]