Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Hahaaa sijui ulikwama wapi mkuu.Zile kampeni zangu kwako sijui ziliishia wapi. Mambo vipi?
Huku kwema kabisa, vipi wewe pande hizo?
Hahaaa sijui ulikwama wapi mkuu.Zile kampeni zangu kwako sijui ziliishia wapi. Mambo vipi?
Jamani!!
Niko fresh, siku hizi watu wote wamefunga PM.Hahaaa sijui ulikwama wapi mkuu.
Huku kwema kabisa, vipi wewe pande hizo?






Yaani aliyegundua ugali dah!
Wasukuma gender zote naona ugali uko damuni maana home nina mfano hai.


Tena kwa dadangu Lenie ndo kabisaa afadhali hata kwa wale wajukuu zangu wengine. Huoni hapa tumeongea ishu za ugali? Wewe ugali wa Kisukuma utauweza? Acha hizo!Niko fresh, siku hizi watu wote wamefunga PM.
Ningeanza upya kampeni lakini huyu jamaa SYB ananiwekea kauzibe kila sehemu![]()
Wewe ugali wa mtama utauweza?! Tuanzie hapo au unafikiri mimi wale wa bajia za dengu, chapati, sambusa na chipsi yai??Tena kwa dadangu Lenie ndo kabisaa afadhali hata kwa wale wajukuu zangu wengine. Huoni hapa tumeongea ishu za ugali? Wewe ugali wa Kisukuma utauweza? Acha hizo!















jamaaa mtu sana huyo....nimeanza kumfuatilia kitambo wengine ni mashort temper kidogo tunapanikSema nakukubali huwa una busara sana. Sijawahi ona mahali unatukana mtu humu hata akikukwaza vipi huwa unajitahidi kumjibu kistaarabu tu.
Kwa comment yake hiyo nina uhakika angelikuwa ni mtu mwingine asingeweza kuvumilia angelipuka kwa matusi na mjadala ndiyo ungekuwa mkubwa zaidi.
Binafsi huwa najifunza sana kuwa na that type of attitude na nikifanikiwa hilo naamini nitakuwa mtu mwingine kabisa. I hope hii ndiyo attitude uko nayo hata in real life.





Daah

Kapime afya ya viungo hivyo, ujue hali yako, mara moja kwa mwaka siyo mbaya ujue hali yako na mustakabali...jamaa yangu mmoja huwa anasema hawezi kuja kufa ini, figo, moyo, mapafu vyote vizima acha ale gambe na fegi ikifika imefikaDaah kama mimi asee
I hope my liver is still strong maana huu mwezi nimeuanza vibaya hadi najisikitikia
Amesimama anakusubiriaMtume simama yelewiii
For sureSema nakukubali huwa una busara sana. Sijawahi ona mahali unatukana mtu humu hata akikukwaza vipi huwa unajitahidi kumjibu kistaarabu tu.
Kwa comment yake hiyo nina uhakika angelikuwa ni mtu mwingine asingeweza kuvumilia angelipuka kwa matusi na mjadala ndiyo ungekuwa mkubwa zaidi.
Binafsi huwa najifunza sana kuwa na that type of attitude na nikifanikiwa hilo naamini nitakuwa mtu mwingine kabisa. I hope hii ndiyo attitude uko nayo hata in real life.

Ishatimia mpendwa, se sema nishushe hapa

Hongera kwa hili SYB, hakika sio rahisi.Oooh! Thanks mai furendi...
Na uzee wote huu kuanza tena kutukanana na wajukuu humu dah! Wengine huchukulia kama ni udhaifu hata huku mtaani lakini kuna faida nyingi sana kisaikolojia kuwa calm. Hupati mahomoni haya ya stress hovyo hovyo na roho yako inabakia kuwa nyeupe.
Isitoshe niko mahali yaani social life imeharibiwa sana na Korona. Kwa hivyo JF hapa ndiyo kijiwe changu cha kahawa kuja kutaniana na kucheka. Sasa niache tena kucheka na kufurahi niingie kwenye kutukanana? Hapana. Ndo maana nilikimbia hata jukwaa la siasa japo mara moja moja nikitamani kuyakoga matusi naendaga huko kuchokoza watu tu.
Yeah! It costs us nothing to treat everyone with respect hata kama hatujuani. Actually that's a reflection and a true measure of a man's integrity and self awareness. Kuna mambo mengi ambayo, kama binadamu, hatuwezi kuya-control. Nguvu zetu, hata hivyo, zimo katika namna tunavyo-respond.
Asante sana Karma![]()
😬😬😍😍kwani kwenda kutoboa dimpoziii sh. Ngapi jamanii na mimi nikwende mimi navyo vya pendeni ya mdomo sivipendiii😬Unganisheni na yale macho 🤪 Nuzulati View attachment 2036256
Naona leo nimeangukiwa na zali la kuhongereshwa uwii! Ajabu sasa sina hata ka champagne humu ndani ka kujipongezea.Hongera kwa hili SYB, hakika sio rahisi.
Thank you kwa hizi busara...




