Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,490
'em beautiful eyes


'em beautiful eyes


Upo adi saiz. Au ushatokaKimara mwisho.
Huwa unatumia detox ipi mkuuInabidi tuandae detox for January


Hivi wasukuma na ugali ni mapacha nini😂Kutakuwa na ugali au ni hayo maembe tu?
Tuanzie hapo kwanza![]()
Let me try this one....mambo ya wadada haya! View attachment 2036161

nishawai kimbia sehemu nilikuta ps zimeungana nimeesabu zishaenda 15Beautiful eyes bila kuachilia dimpozi? Aachilie dimpozi ndo zitaendana vizuri na hizo "beautiful eyes"'em beautiful eyes![]()
Nendeni basi mkagombane
Mnatusumbua kwenye uzi wetu.
Wale wote wenye vita nashauri fungueni uzi mkazinyuke huko,,,vita yenu msipiganie selfika.
Resistance zenu kazifungulieni uzi.
tuselfikenishawai kimbia sehemu nilikuta ps zimeungana nimeesabu zishaenda 15



Shemeji anafaidi
Kaka nataka nijilipue@reymage unataka kumwambia nini huyu binti yetu!!





Bila ugali kwa kweli mambo hayaendi. Si ajabu hata hiyo dinner ikawa ni ubwabwa tu. Endeleeni tu bageshiHivi wasukuma na ugali ni mapacha nini
Kwa sasa maembe tu, tunashushia na maji tukisubiri dinner

Naomba uni tagSawa
Soon![]()
😂😂😂Bila ugali kwa kweli mambo hayaendi. Si ajabu hata hiyo dinner ikawa ni ubwabwa tu. Endeleeni tu bageshi
View attachment 2036230



Zile kampeni zangu kwako sijui ziliishia wapiTuchangamshe meno
View attachment 2036204


. Mambo vipi?Oooh! Thanks mai furendi...Sema nakukubali huwa una busara sana. Sijawahi ona mahali unatukana mtu humu hata akikukwaza vipi huwa unajitahidi kumjibu kistaarabu tu.
Kwa comment yake hiyo nina uhakika angelikuwa ni mtu mwingine asingeweza kuvumilia angelipuka kwa matusi na mjadala ndiyo ungekuwa mkubwa zaidi.
Binafsi huwa najifunza sana kuwa na that type of attitude na nikifanikiwa hilo naamini nitakuwa mtu mwingine kabisa. I hope hii ndiyo attitude uko nayo hata in real life.


. 

