The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,058
ngerenge yene yayigoni mlongo, cha yikita kulyolyopa kwene,
Umenikumbusha mbali wee, ila home kwetu kuna pombe nyingi za asili,
Nimemiss ulanzi hapa, yaan nimeongea na bibi anantambishia ndo amegema leo yaan uko topu kwenye dumu. Natamani nipae hata.![]()
Usinikumbusage Ifunda kibaoni mwe mwe mwe! Tulikuaga tunaenda lyandembela kula mikusu na wale waliojaliwa walikamata ulanzi


