Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unavutia nini sasa
Ukivaa nguo zinakukaa vizuri,pia haiba yako inakuwa nzuri

Mkuu hujawahi kusikia kwamba kitambi kinamwondolea mtu mwonekano mzuri,Hadi kuna baadhi ya nguo akivaa anachukiza?

Unanielewa point yangu bn,mwili wa mtu wa mazoezi unakuwa vizuri kuliko wa mtu asiyefanya,hiyo iko wazi kbs

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Ukivaa nguo zinakukaa vizuri,pia haiba yako inakuwa nzuri

Mkuu hujawahi kusikia kwamba kitambi kinamwondolea mtu mwonekano mzuri,Hadi kuna baadhi ya nguo akivaa anachukiza?

Unanielewa point yangu bn,mwili wa mtu wa mazoezi unakuwa vizuri kuliko wa mtu asiyefanya,hiyo iko wazi kbs

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Upo sawa kabisaaa, nakuunga mkono mkuu
 
Sasa hivi vitakunenepesha mwili mkuu

Utashindwa kupiga mzigo vizuri ohoo,nishakuambia Depal wahuni tunammezea mate.Alafu km unavyojua watoto wa kike hata km mumewe Una hela km bahresa ukiwa na shoo mbovu anavunja zizi anakimbia

Ila nn mkuu,Punguza ulaji wa vitu vitamu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Huyo mwanamke unaemtaja mbona sina habari nae wala mie hana habari na mie.. nyie kamatieni tu 😁😁😁.. Mkuu sijawai nenepa toka nimezaliwa mzee baba nakula kila aina ya mlo ila no mwili, fanye kila aina checkup kama kuna shida nipo safi, kazi zangu na mambo yangu nimezoezi toshaa 😊😊😊
 
Alafu mkuu unapenda sn kahawa unaonyesha,siku moja nicheki ukipata nafasi nikupe kahawa orijino uwe unaandaa mwenyewe nyumbani ukitaka

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sema mkuu mie sina nyumbani, nalala popote mda wowote na saa yoyote 😁😁😁😁 ila kahawa ndio chakula changu mkuu.. tofauti na wazazi wangu kinachofatia kukipenda ni kahawa
 
931DF029-962A-4007-A76B-9AA1C175F70A.jpeg
Salamu zenu wajomba😎
 
Back
Top Bottom