Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Jamani, haya najipost tenaSijakuona kbs,fanya kupost
Jamani, haya najipost tenaSijakuona kbs,fanya kupost
Usinikumbusage Ifunda kibaoni mwe mwe mwe! Tulikuaga tunaenda lyandembela kula mikusu na wale waliojaliwa walikamata ulanzi




mikusu au masuku? Ulanzi mtamu sana, wanafunzi wa kigeni waliosoma/wanaosoma mkoani kwetu wengi wao wanatupia sana ulanzi af sasa sio ke wala me.


Rangi sio enyewe.Baada ya mihangaiko ya kutwa ni mda wa kumshukuru Mungu na kujipumzisha View attachment 2033149



...Hutoka kwa Mungu![]()



kipenzi, wee n mcharoooh.Mmmh mdojolela ulinishindaga wallah siuwezi yaanbado mwezi m1, utakuta mdojolela, masuku, maembe ya kuiva bwelele,
Ila ulanzi mtamu
Mie huko labda mwez wa 3 iv.![]()
Wee ukienda kurudi tena lin?Mmmh mdojolela ulinishindaga wallah siuwezi yaan
Mie naenda wiki ijayooooooo
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
YaaniWee ukienda kurudi tena lin?
kulima,mbolea,kupalilia yaan dar hadi nipasahauYaanikulima,mbolea,kupalilia yaan dar hadi nipasahau
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app




nimecheka ujue, wee sasa unakimbilia nn, baki huku kwani.Dar sipawezi wallahnimecheka ujue, wee sasa unakimbilia nn, baki huku kwani.

wacha nikaule na dagaa nyasaSanteee😊kipenzi, wee n mcharoooh.
Marahaba Mtumishi mwema. Nimeona maombi ya milimani. Siku nyingine ukienda huko nikumbuke na mie na familia yangu kwenye maombi hayo. Asante Mtumishi MwemaMtumishi nakusalimia



Shoo mbyurifoo 😍😍😍
Nachuro shoo😂😂Shoo mbyurifoo 😍😍😍
Vizuri sana kama ni njema kabisa