Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Jamani, haya najipost tenaSijakuona kbs,fanya kupost
Jamani, haya najipost tenaSijakuona kbs,fanya kupost
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mikusu au masuku? Ulanzi mtamu sana, wanafunzi wa kigeni waliosoma/wanaosoma mkoani kwetu wengi wao wanatupia sana ulanzi af sasa sio ke wala me.Usinikumbusage Ifunda kibaoni mwe mwe mwe! Tulikuaga tunaenda lyandembela kula mikusu na wale waliojaliwa walikamata ulanzi
Rangi sio enyewe. [emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya mihangaiko ya kutwa ni mda wa kumshukuru Mungu na kujipumzisha View attachment 2033149
...Hutoka kwa Mungu [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590] kipenzi, wee n mcharoooh.
Mmmh mdojolela ulinishindaga wallah siuwezi yaan[emoji23][emoji23][emoji23] bado mwezi m1, utakuta mdojolela, masuku, maembe ya kuiva bwelele,
Ila ulanzi mtamu [emoji39][emoji39][emoji39]
Mie huko labda mwez wa 3 iv. [emoji23][emoji23]
Wee ukienda kurudi tena lin?Mmmh mdojolela ulinishindaga wallah siuwezi yaan
Mie naenda wiki ijayooooooo
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Yaani[emoji28]kulima,mbolea,kupalilia yaan dar hadi nipasahauWee ukienda kurudi tena lin?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka ujue, wee sasa unakimbilia nn, baki huku kwani.Yaani[emoji28]kulima,mbolea,kupalilia yaan dar hadi nipasahau
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Dar sipawezi wallah[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka ujue, wee sasa unakimbilia nn, baki huku kwani.
Santeee😊[emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590] kipenzi, wee n mcharoooh.
Heaven Sent nama malezi, naomba upost picha yako tukuone hata mkono tyuuh, nafsi zetu zitasuuzika.[emoji7][emoji7][emoji7]
Marahaba Mtumishi mwema. Nimeona maombi ya milimani. Siku nyingine ukienda huko nikumbuke na mie na familia yangu kwenye maombi hayo. Asante Mtumishi Mwema [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mtumishi nakusalimia
Shoo mbyurifoo 😍😍😍
Nachuro shoo😂😂Shoo mbyurifoo 😍😍😍
Vizuri sana kama ni njema kabisa