Ni vema kabisa kama uko salama, endelea kupumzika mkuu bado mapema.Vizuri sana kama ni njema kabisa
Kwa kweli nashukuru MUNGU nipo salama kabisa japo bado sijaachia kitanda/amka ila najiona nipo fiti/fresh/poa na salama kabisa mkuu
KARIBU
AminaNi vema kabisa kama uko salama, endelea kupumzika mkuu bado mapema.
Huku tunajiandaa kwenda church.
Nitakuombea mpendwa na naamini mwaka huu hautaisha kabla hujakutana na my wife wako maana Mungu wetu ni muaminifu tukimuomba kwa imani🙏Amina
Kaniombee nipate mke mwema kutoka kwa MUNGU
Chaguo langu sahihi
Amina mpendwaNitakuombea mpendwa na naamini mwaka huu hautaisha kabla hujakutana na my wife wako maana Mungu wetu ni muaminifu tukimuomba kwa imani![]()
Amina, barikiwa nawe mpendwa na uwe na j'2 njema yenye baraka tele.Amina mpendwa
Ubarikiwe mno
mikusu au masuku? Ulanzi mtamu sana, wanafunzi wa kigeni waliosoma/wanaosoma mkoani kwetu wengi wao wanatupia sana ulanzi af sasa sio ke wala me.
Ulanzi mtamu bhana,![]()
Mkuu nipende mtu ili nigundue nini asee, nilikuwa nachangamsha tu. 100% ya comments zangu humu ili siku iende tu na sio real me au vitu harisi. Tuingie mzigoni kwa mdosi sasaKwann leo unamkana mkuu..juzi nilikuambia mwanamke anachohitaji ni upendo wa dhati nawe ukanijibu unampenda sn,Kwa Hilo nisiwe na Shaka
Sasa Leo nn hiki Leo unaniambia 😁
Sawa mkuu..sasa umekuwa kijana wa hovyo hovyo halisi😂😂 ( kidding)Mkuu nipende mtu ili nigundue nini asee, nilikuwa nachangamsha tu. 100% ya comments zangu humu ili siku iende tu na sio real me au vitu harisi. Tuingie mzigoni kwa mdosi sasa
Hpn,uko vizuri bn,hata mguu unao😋Ni gauni ndio pana, cheki vizuri😂
🤣🤣🤣 Nakuzoom tuNachuro shoo😂😂
Amina mpendwa LenieAmina, barikiwa nawe mpendwa na uwe na j'2 njema yenye baraka tele.
Mguu umenona😋😋
Uwe unasalimia dogoMguu umenona😋😋
Habari ya asubuhi DUwe unasalimia dogo
Hahaa thank you Satoh HiroshHpn,uko vizuri bn,hata mguu unao😋
Amchelewi kushangaa mashuka meusi wakati mimi nimeweka ili nisione yakichafuka nafua mwezi after mweziRangi sio enyewe.![]()


🙄🙄🙄 Mie kama kinyonga nina rangi zote nafiti kila idara.. Ushuani huku yamejaa matoto hatari acha nisake tu hela banaaaSawa mkuu..sasa umekuwa kijana wa hovyo hovyo halisi😂😂 ( kidding)
We nd mahondaw ambae smart111 anamuongelea
Matunda flani matam kama sijasahau yaliitwa mikusu. Nashukuru ulanzi sikuwahi kuugusa.