Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwanaume wa Kino yuko busy tiktok anadance challenge ya Love Nwantiti, saa ngapi atawajua rappers.


Kimsingi ni braza angu aliniambukiza miaka hiyo sija'cease bado naendelea nazo.

Bro alikuwa ni zile type za wahuni smart, mpk leo dictionary, some books home zimejaa machata yake 'soldier Kaveli
nmecheka had kupaliwa, hiyo paragraph ya mwanzo.
 
Yesterday, safar ya kurud town.
IMG_20211107_102348_757.jpg
IMG_20211107_124412_910.jpg
IMG_20211107_202436_645.jpg
 
Kna dhehebu flan wao wanavaa sket za marinda tyuuh, jina silijui vzur, sjui UWATA au sjuiEFATHA
UWATA hao bila Shaka.

Ila me sipo huko, hizi nilinunua 7bu zimekaa kiheshima somehow hata kwa desk church ukikaa hazijivuti magoti yakabaki wazi.
 
Sasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...

Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...

View attachment 2003003
Na bado mnaendelea kuzungukiapo?
 
Back
Top Bottom