Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...

Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...

View attachment 2003003
Mmmmh yaani ningepigwa na shoti na kuanguka chini,yaani kama vile mie ndo mbwa niliyebanwa na chatu
 
kwa ali ilivo itabidi nitafute gari la laki tatu niepukane na ii kadhia
Ukiona sehemu mtu anauza unistue na Mimi

Shida ya private car ni foleni njiani.
Nguvu ya mwendokasi ipo kwenye kutokuwa na foleni njiani .ila Kuna madereva sijui waliwaokotea wapi!sijui ndio wanajifunza kuendesha!!wanakera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...

Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...

View attachment 2003003
Duuuh mbna hatar sana khaaah.
 

Kama nakuona vile...
Wanyama hawana shida haswa kama sio adui, au kuonyesha kuwadhuru kuna kisa kimoja tulikwenda hifadhi ya wanyama, back in days kuna jamaa flani alishuka toka kwenye gari kwenda kukojoa, katoka nje mpaka kichakani, bi mkubwa wangu akaona mnyama kwenye hiko kichaka, akawaambia waliokuwepo garini jamaa anapopunguzia mafuta kuna mnyama, yule guide kucheki fresh aka confirm ni mzee simba...

Duh jamaa akasema kaeni kimya kabisa muacheni akojoe amalize aingie garini, mkipiga kelele ni hatari mno...

Jamaa akakojoa weeee kwa starehe, si unajua mkojo uliokubana muda mrefu unapopata muda kuuachia

Jamaa akarudi garini akafungua mlango akaketi, wakamuonyesha kwenye kile kichaka kulikua na mzee lion amepumzika..

Jamaa ni kama alipigwa shoti msemo wako..
Nilikuwa chalii back in days, siwezi kusahau hiko kisa, ungekuwa ni wewe i think ungezirai kwenye gari

Nb:sio chai
mie ningekufa hapo hapo ndani ya gari, badala ya pale kichakani.
 

Kama nakuona vile...
Wanyama hawana shida haswa kama sio adui, au kuonyesha kuwadhuru kuna kisa kimoja tulikwenda hifadhi ya wanyama, back in days kuna jamaa flani alishuka toka kwenye gari kwenda kukojoa, katoka nje mpaka kichakani, bi mkubwa wangu akaona mnyama kwenye hiko kichaka, akawaambia waliokuwepo garini jamaa anapopunguzia mafuta kuna mnyama, yule guide kucheki fresh aka confirm ni mzee simba...

Duh jamaa akasema kaeni kimya kabisa muacheni akojoe amalize aingie garini, mkipiga kelele ni hatari mno...

Jamaa akakojoa weeee kwa starehe, si unajua mkojo uliokubana muda mrefu unapopata muda kuuachia

Jamaa akarudi garini akafungua mlango akaketi, wakamuonyesha kwenye kile kichaka kulikua na mzee lion amepumzika..

Jamaa ni kama alipigwa shoti msemo wako..
Nilikuwa chalii back in days, siwezi kusahau hiko kisa, ungekuwa ni wewe i think ungezirai kwenye gari

Nb:sio chai
Yaani. Huyo mbwa tu namuagopa mfano hakuna asee,kama ni mie ningemuona huyo lion asee kwanza ningesababisha hatarimaana ningepiga yowe
 
Sasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...

Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...

View attachment 2003003
kwann mlimuokoa mbwa??...mlitaka chatu afe njaa mngeacha eco system i take place
 
Back
Top Bottom