NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Hii hii inayoanzia Magogoni
Hii hii inayoanzia Magogoni
Halafu wewe.....
Nice outfit
....looks good on you .


Yaani siku nikiangalia mechi tunafungwa.
Then chagua matokeo yoyote hapo ufurahishe macho, naona kuna kijana ameàmua kukutoa out!View attachment 2002445


EeeeheeeMie huyu....
Black beauty ,kiuno nyigu
Ningekuwepo Dar , ningepata wasaa wa kusalimiana
Kama huku ndo kuzeeka...then keep it up!


Kama badala ya kwenda viwanja kujirusha wikendi zako sasa zimegeuka na kuwa ni wakati wa kutunza mazingira ya gheto lako na kulima vibustani bustani vya uwongo na kweli. Cha muhimu tu ufurahie na uwe na ridhiko. Maisha menyewe ni haya haya hakuna mengine. Fanya kikupacho furaha ali mradi tu usivunje sheria (na hata kukera wengine). Be blessed 


Mi ni giza
Kuna vingi vya kutisha
Chunga sana pindi inapofika usiku
Usiku, usiku, chunga sana pindi inapofika usiku...
View attachment 2002490



HahahaaaDaaaah. Ndomaana umetukimbia
Lolunajua kubinua mguu vzr. Fujo za kitandani hizo
Yaani,upo wapi sasa,mie nipo dar kushangaa shangaaNingekuwepo Dar , ningepata wasaa wa kusalimiana
,next week narudi mkoani kwetu,