Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wengine walafi,
Kila kituo anang'ang'aniza kusimama

Gari ishajaa ila hawakomi tu kusimama.
Kuna wengine hadi watukanwe na abiria ndio akili zinawajia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku gari imejaa kweli kuna mshikaji akawa anapakia viroba vyake watu waliwaka adi mwana mwana akajistukia.... adi gari kusimama ni kuwa gari aijajaa ndo maana watu wanapanda .
 
Kuna siku gari imejaa kweli kuna mshikaji akawa anapakia viroba vyake watu waliwaka adi mwana mwana akajistukia.... adi gari kusimama ni kuwa gari aijajaa ndo maana watu wanapanda .
Yaani gari inafurika hadi mlangoni anakazana kusema rudini nyuma.
Na gari inatoka mbezi ishajaa..
Anakazana rudini nyuma,wacha watu wamuwakie.

Kuna watu hata hawakufaa kuwa madereva wa haya magari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo KIBURI yako itakucost nakwambiaga mie🤣🤣🤣
Em nitumie chap nimuone mcute
Nizeeke sasa kipungue 🤣

Hiyaaa wi go...
images (12).jpeg
 
Kaliboost liwe saa sita, amevua tu pwa (pwaah)
Eti mimi sijawahi mbona nimeweka tu pwa (pwaah)
Nimepaka vumbi alikasusu sekunde ya tano tu pwa (pwaah)
Msione nnalewa nimeachika yani nimetupwa (pwaah)

Jamani
yaan umejua kunivunja mbavu wee lol
 
Back
Top Bottom