Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Elimu ya darasani ni muhimu pia, na njia nyoofu ya kutusua maisha.
Kama ni muhimu basi inabidi kufuata njia nyoofu kuipata.
Ingekuwa rahisi kuipata basi kila mtu angekuwa nayo,na ili uipate ni lazima ukubali kusoma.

Na ili upate uthibitisho(cheti) kwamba umeipata basi ni lazima kupitia mitihani.
Kama mtu hataki mitihani basi asome tu na asifanye mtihani maana anachokitaka ni elimu ..ila hatakuwa na vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cc ukiwa lect, hapanaa wanafunz wote n kudisco tyuuh.
Kama wamesoma vizuri kwanini wadisco?
Mtihani unatungwa kupima kiwango cha uelewa wa somo husika.
Hakuna Mwalimu anatunga mtihani ili mtu adisco,nguvu ya kuelewa ya mwanafunzi ndiyo itakayomfanya adisco au asidisco.

Mbona kuna wanaofaulu ,tena wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wee nae khaaah
mweeeh kale kanyoka kalinitisha yaani nilikuwa jikoni nasonga ugali,nimetoka kidogo narudi nakaona kanajizungusha jikoniniliruka nikaacha ugali jikoni,nikajikuta nipo nje yaani najiulizaga zile ngazi nilizirukaje sipat jawabu

Huo usiku sikulala humo,nilihama mazima
 
Kna dhehebu flan wao wanavaa sket za marinda tyuuh, jina silijui vzur, sjui UWATA au sjui EFATHA.
Uwata siyo dhehebu.
Ni uamsho ambao mtu wa dhehebu lolote anaruhusiwa kujiunga.
Mtu anabaki na dhehebu lake na ataendelea kusali dhehebuni kwake kama Kawaida ila atatakiwa aende huko faraghani kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyo mamba tu unaogopa?
Katika pitapita tulikuta chatu amembana mbwa, nilirekodi video ni kubwa siwezi share...

Yule mbwa ili kumuokoa ilibidi tuanze ku deal na chatu, later huyo jamaa akaja na panga akamchinja chatu... same day nikakutana na mamba.. hio place kuna kenge,chatu na mamba...

View attachment 2003003
Kuna watu wana ujasiri sana aisee
 
Usiku kaimba Songa, Dizasta ni mtu mwingine.

Anarap mastory ya kibabe hii inaitwa hatia 2 ya huyo Dizasta.

Wanasema mwanaharamu
Haijui laana 'kashalaanika
Nasikitika kuwa haujui
Kama naonekana ka'
Kondoo kwa mchungaji
Lakini...lakini kwa ndani
Mi ni chui mama

Kwa mfano nakuita mpenzi
Na tabasamu zuri wakati
Najua kuwa sikupendi
Kuitoa hii siri ndo siwezi
Kwahiyo nitakudanganya
Mpaka ifike siku niutimize
Ushenzi


Keep the good music alive
Lenie pita kidogo.
Alinkosha pale anasema
"Maana kafiri hazaliwi hutengenezwa na dunia"
 

Sure mkuu...
Kuna mzee jirani yangu ni askari (tpdf) mstaafu, ana mkono mmoja, huyu mzee alinipa kisa cha yeye kuwa na mkono mmoja ni ajali ya gari..

Alikuwa anasafiri na alikuwa siti ya dirishani, gari ikapata ajali kajikuta mkono umekandamizwa na gari halafu mfupa umevunjika wote, kilichobaki ku handle mkono ni ngozi na muscles tu, alichofanya ili kutoka eneo la tukio haraka, alivuta ule mkono akauviringisha mpaka akaacha mkono wake pale umekandamizwa na gari...

Kuna watu ni majasiri kwa kweli, hii hata mie nisingeweza asee... unaacha mkono wako unaungalia... ni huzuni sana..
Aiseeee!!

Kuna jamaa yangu aliuacha uume wake kwenye mkokoteni wa kusukumwa/kokotwa na ng'ombe

Kuna watu wana ujasiri sana kwa kweli
 

Usinichekeshe... kuna story moja ya kichekesho inakuhusu sana...

Kuna jamaa alikuwa anaumwa sana halafu ilikua ni village, sasa kufika night homa ikazidi ikabidi majirani wampeleke hospital huo usiku yapata saa 8, basi wakachukua kama kigunia flani wakatengeneza kama machela za kubebea wagonjwa, safari ikaanza pori kwa pori, njia kwa njia kuitafuta zahanati kuokoa roho ya mgonjwa mahututi.

Ebwanaeehh kufika mbele, si wakaona simba!!! Yupo pembezoni mwa njia halafu anawacheki tu, wale wabebaji wakaona ili kunusurika ni bora tumtoe huyu mgonjwa sadaka, simba ana njaa hatari anapiga mihayo tu.

Wakaona wasipo mtoa sadaka, simba atawakamata mmoja wao, wakahesabu 1, 2, 3 fyuuuu!!! Wakamrushia mgonjwa kule simba aliko halafu wakatoka nduki hatari...

Basi walikimbia vibaya sana, wakafika nyumbani wamechoka balaa, kuangalia mlangoni mgonjwa waliyemtupa ameketi mlangoni anakunywa na uji amefika kitaaambo... anawauliza mbona mmechelewa hivyo?

Kumbe jamaa kwa uoga wa kuliwa na simba aliporushiwa alimkwepa simba akapata nguvu, akakimbia akawapita wale wazima wote

Nahisi wewe ndio yule mgonjwa..

Nb: not true story
Hahahaha
 
FB_IMG_1636365291640.jpg
 
Back
Top Bottom