Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shati na jinsi.
20211008_162137.jpg
 
Unaweza Bwana mileleee
Unaweza Bwana milele


Unatosha Bwana milele
Unatosha milele.
[emoji445][emoji444][emoji445][emoji444]


Nakuabudu wewe ni MUNGU
Hakuna kama wewe wewe ni Mfalme
Umeketi mahali pa juu palipoinuka
Wewe ni Mfalme.

Wewe ,wewe,wewe ni kila kitu kwangu.

[emoji444][emoji444][emoji444][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445]


Jwani kufwana Nugwe
Jwani kufwana Nugwe
YESU U mpoki
Malafyale Gwikemo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YESU ndiye lango hili
Hata sasa li wazi
Kwa wakubwa na wadogo,
Tajiri na masikini

Lango ndiye YESU Bwana
Wote waingie kwake
Lango,lango la Mbinguni li wazi.


Hima ndugu tuingie
Lango halijafungwa
Likifungwa mara moja
Halitafunguliwa.

[emoji445][emoji444][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji444]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malaika wanaimba Bwana wastahili Bwana wastahili Bwana
Wanakuabudu wanaimba Bwana wastahili Bwana wastahili Bwana
Wanaima wanaimba Bwana wastahili Bwana wastahili Bwana

Bwana kiti chako ni cha ajabu sana ni ajabu
Kimezungukwa na utukufu ni cha ajabu sana ni ajabu

Bwana ni wewe tu
Ni wewe tu
Wastahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom