Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

niombee tu ndugu yangu ndiyo maana nasema siwezi kuolewa na huu ubishi sitaki kumtesa mtoto wa mtu mimi yaani nikiona nimeshindwa kabisa kuacha ubishi basi bora nisiolewe tu nitafute hela niwe nazurura duniani huko

Mimi ninachonishinda Ni mvivu kuongea na nna speed ya Kobe..bila hivyo walahi mbona watu wamgejuta.

Upo kwenye Sala zangu
 
niombee tu ndugu yangu ndiyo maana nasema siwezi kuolewa na huu ubishi sitaki kumtesa mtoto wa mtu mimi yaani nikiona nimeshindwa kabisa kuacha ubishi basi bora nisiolewe tu nitafute hela niwe nazurura duniani huko
unaolewa vizuri na mbwembwe zote zinaisha
 
Ungemtumia pm huyo mkeo
Nimeweka kila kitu mahala pake.


Vya hadharani ni kwa hadhara na vya siri sirini.

Naongea na yeye bibie,unaelewa nini unapoambiwa "khasa" ? au "kuwakilisha wingi kwa kukusudia umoja " ?
 
Back
Top Bottom