Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niombee tu ndugu yangu ndiyo maana nasema siwezi kuolewa na huu ubishi sitaki kumtesa mtoto wa mtu mimi yaani nikiona nimeshindwa kabisa kuacha ubishi basi bora nisiolewe tu nitafute hela niwe nazurura duniani huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mimi ninachonishinda Ni mvivu kuongea na nna speed ya Kobe..bila hivyo walahi mbona watu wamgejuta.

Upo kwenye Sala zangu[emoji8][emoji8][emoji8]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niombee tu ndugu yangu ndiyo maana nasema siwezi kuolewa na huu ubishi sitaki kumtesa mtoto wa mtu mimi yaani nikiona nimeshindwa kabisa kuacha ubishi basi bora nisiolewe tu nitafute hela niwe nazurura duniani huko
unaolewa vizuri na mbwembwe zote zinaisha
 
Ungemtumia pm huyo mkeo
Nimeweka kila kitu mahala pake.


Vya hadharani ni kwa hadhara na vya siri sirini.

Naongea na yeye bibie,unaelewa nini unapoambiwa "khasa" ? au "kuwakilisha wingi kwa kukusudia umoja " ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakumbuka ule Uzi tumebishana Sana kuhusu utatu mtakatifu alisema atakuja kututia adabu kwa kutuongeza kuwa wakeze???
Nikajua tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naukumbuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sema astaghfirullah yaani mimi niolewe na Zurri[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]over my dead body
 
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Kaka wadogo zako watakiona Cha mtema kuni humu ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanajitia kuwachokoza dada zao yaani huu uzi Hadi umeisha hakuna rangi mtaacha kuona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom