Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kazi? Afanye kazi saa ngapi na apate muda saa ngapi wa kuzunguka pm kutafuta picha za wadada wa jf.
Ona hapo amesema ana file kabisa na atakuwa anachomoa betri kwa mmoja mmoja. Sasa huyo kazi anafanya saa ngapi.

ACHOMOE SASA TUONE. hata akichomoa kwa ID nyingine mwandiko wake naujua. Picha ya mdada yoyote itakayochomolewa betri nanunua ugomvi.View attachment 1223267
Hahahahahahahah jamani wewe ni mkorofi hivyo????
 
Kazi? Afanye kazi saa ngapi na apate muda saa ngapi wa kuzunguka pm kutafuta picha za wadada wa jf.
Ona hapo amesema ana file kabisa na atakuwa anachomoa betri kwa mmoja mmoja. Sasa huyo kazi anafanya saa ngapi.

ACHOMOE SASA TUONE. hata akichomoa kwa ID nyingine mwandiko wake naujua. Picha ya mdada yoyote itakayochomolewa betri nanunua ugomvi.View attachment 1223267
Aloooooo 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
We ni mwisho wa matatizo mwajuma wa uzunguni
 
Ulimzidi akili alipogundua ikabidi aanze kujitetea na blah blah kibaoo maana hakuamini majicho yake na kujiona ana akili, walahi ulinifurahisha
Jinsi alivyokuwa ana chat na kamanda kapeace Wanazengo tulitulia nikajisemea yes huyu Nyumbu lazima aingie kwenye mtego na kweli kaweka picha ya mwewe wake maana si kwa kucha chafu zile.
 
Back
Top Bottom