Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Hahahahaha sasa Delilah na Eva ni bibi zangu unategemea mimi niweje we mama?





Inaumaaaaa asikwambie mtu, pale unapojiona una akili halafu yule unaemdharau unajikuta ana akili kukuzidi.
Hahahahaha sasa Delilah na Eva ni bibi zangu unategemea mimi niweje we mama?





Hahahahahahahah jamani wewe ni mkorofi hivyo????Kazi? Afanye kazi saa ngapi na apate muda saa ngapi wa kuzunguka pm kutafuta picha za wadada wa jf.
Ona hapo amesema ana file kabisa na atakuwa anachomoa betri kwa mmoja mmoja. Sasa huyo kazi anafanya saa ngapi.
ACHOMOE SASA TUONE. hata akichomoa kwa ID nyingine mwandiko wake naujua. Picha ya mdada yoyote itakayochomolewa betri nanunua ugomvi.View attachment 1223267
Na sasa hivi nimeenda kuangalia kuna uzi naona ameongea na mods waung'oe.Alikandia weeee kwenye nyuzi bado akaona haitoshi hadi na uzi akaanzisha, Sasa unamuona Ni mzima huyo![]()





Nikuone 😂 ukishindwa hapa basi hata kule uwanja wa nyumbani🤣🤣🤣🤣.....
Hatarious Wallahi....
A message to the one and only;
My Love usiangalie hizi picha wala kuzisave Aisee...
Aseeeee watu wametibuka mnooooooNaona kimbunga Kenneth kimehamia humu
Aisee kimbunga kikali Sana...bomu limelipuka,kisije kunibeba..wacha kiondoke Mimi.
Mshana Jr Kaka nilikwambia usipulize Tena dawa nimeshika wingu
Unaona Sasa ulivyo changanya mambo huku
Naenda tatu kavu kushika wingu.
Bye
Na sasa hivi nimeenda kuangalia kuna uzi naona ameongea na mods waung'oe.
Jana ulikuwepo na nilisoma zote nashangaa Leo zipo mbili tuu.![]()








Aloooooo 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌Kazi? Afanye kazi saa ngapi na apate muda saa ngapi wa kuzunguka pm kutafuta picha za wadada wa jf.
Ona hapo amesema ana file kabisa na atakuwa anachomoa betri kwa mmoja mmoja. Sasa huyo kazi anafanya saa ngapi.
ACHOMOE SASA TUONE. hata akichomoa kwa ID nyingine mwandiko wake naujua. Picha ya mdada yoyote itakayochomolewa betri nanunua ugomvi.View attachment 1223267
Sema kweli jamaninapeeeenda sana hivyo visteki vya tumbo![]()
Leo nageuka.Nasubiri ugeuke




Si waliambiwa waishi na sie kwa akili sasa sijui wanakwama wapi hawa watu
Inaumaaaaa asikwambie mtu, pale unapojiona una akili halafu yule unaemdharau unajikuta ana akili kukuzidi.
Hapo kawa mwembamba jamani.Wacha uongo, ile paja yote ile niliona![]()
Hizi ndio akili.Yes wamo wanaume humu wema na wabaya na nimeshakutana nao lkn siwezi kuponda wote kisa hao wabaya wachache walionikwaza,
Atakua kanenepa huyo.. Mi jamani nguo zimeanza kuwa kubwa kwangu. Hii jeans yenyewe nimevaa kila muda naipandisha



Dada wanapiga vizuriNapenda bendi jamani. Sema sio kama Bogos.
Yanaona nini mkuuMacho yenu yanaona kama mimi!
Jinsi alivyokuwa ana chat na kamanda kapeace Wanazengo tulitulia nikajisemea yes huyu Nyumbu lazima aingie kwenye mtego na kweli kaweka picha ya mwewe wake maana si kwa kucha chafu zile.Ulimzidi akili alipogundua ikabidi aanze kujitetea na blah blah kibaoo maana hakuamini majicho yake na kujiona ana akili, walahi ulinifurahisha![]()
Alijiandaa kukuchomolea wewe,Alimkosea nana halafu eti ndio anajiona ana malezi mazuri na wenzie wana malezi mabovu. Mie nilimpa makavu vikamuingia akaishia kunitukana.

