Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani wewe tena nafasi ya nne ndio inakufaa kabisa,kwanza tunafunga mahesabu pili unakuwa pamoja na mimi sababu wale watatu wa mwanzo wataungana kukuhujumu wewe,basi mimi ndio nitazidisha mapenzi tena na tena.

Hakuna starehe kama ya kuwa na wake wengi bibie.

Nimemaliza .....
Asubutuu
 
Achana na huyo takataka. Halafu sijui nilimbebea bwana. Maana kanikalia kooni utasema nashea nae. Nishamwambia asinizoee ila akiniona tu genye zinampanda.
Na hata kama natapeli nishamwambia natapeli wenye hela sio maskini kama yeye
Mwenye pesa ndio wewe .

Kwa lipi haswa ulilonalo ?
 
Wewe mwanaume mwenye tabia za kike narudia tena UNIKOME. Sikujui hunijui unaanzaje kuniongelea ufala?

Kwanza sipendagi mazoea na mashoga tuheshimiane tafadhali.
Tapeli nilikutapeli wewe? Kwanza hela huna nakutapeli mambupu au? NIKOME
Dozi imekuingia haswaaa.
 
Back
Top Bottom