mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Mi nilisemaMdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254
Mi nilisemaMdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254
Mwisho wasiku ikabidi aanze kumsifia kwenye maeneo mengine. Maana alijua kwenye appearance na usafi ndio ashafeli.
Ikabidi amkane mkewe ghafla na kuanza kujisifia udwanzi, walah shikamoo wote.



Ewaaaaa, akikandia tuu picha ya mke wake nimeihifadhi.Umeona eeeh..
Labda alichomoe kwa kusifia
Hiyo ni sehemu tu lakini alidhihaki sana ndo maana nzengo ina hasira nae na kama utujuavyo wanawake hasira zetu haziishagi kwa harakaAisee kumbe ndio alichosema?..
![]()
Nimeonaaa 😍😍😍
Kwamba humu ndani anaona watu wa darasa la 3cMwisho wasiku ikabidi aanze kumsifia kwenye maeneo mengine. Maana alijua kwenye appearance na usafi ndio ashafeli.
Eti mke wake katuzidi Elimu ana kazi zuri, ana akili na simu zuri ana nidhamu anajua kupika na blah blaah.![]()

🙌🙌🙌🙌Ewaaaaa, akikandia tuu picha ya mke wake nimeihifadhi.
Ikabidi amkane mkewe ghafla na kuanza kujisifia udwanzi, walah shikamoo wote.
yeah inawezekana vizuri tuCamera naweza badilisha eeeh?
🤣🤣🤣🤣.....Kuna watu mmeamua kutuchukulia mabwana zetu kwa hizi pics zenu, nimeacha na kusifia saiv,
Unaonekana kama una mahaba sana we maza
Nipo back up kwa ajili yako msomali wanguEwaaaaa, akikandia tuu picha ya mke wake nimeihifadhi.













Ndio maana nimekufa nimeoza.Hahahaaa. Anko alifanya vurugu zisizoumiza
Mara moja kwa Siku? Mara moja tuu?Sifanyi diet sema nakula mara moja kwa siku na nakimbia
KwendaaPicha ya mdogo wangu ya zamani hiyo ujue ila kama sasa hivi kaanza kunenepa mana jeans zake nyingi hazipiti
Hapa inatia nguvu.Usijali hutakosa kabisa
Doh!!Hiyo ni sehemu tu lakini alidhihaki sana ndo maana nzengo ina hasira nae na kama utujuavyo wanawake hasira zetu haziishagi kwa haraka
Hahahaha kubwa ni kuwa team moja mbona tutawanyoosha wote vya udomo, mi nakubali kuna watu kukwazana lkn ndo utukane jamii yake yote??? Kumfata pm alishindwa!! Ustaarabu ni kitu cha bureakinichomolea atakimbie uzi wake mbona.
Maana sitashindwa.