Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Halafu usikute hana loloteHajiamini mpaka basi
Halafu usikute hana loloteHajiamini mpaka basi
Naweza kuja baadae kula mandi. Naendelea kuwaza hapa nikale mandi au biriani.
unaanzaje labdaHahhhaha kwani wewe siwezi kukudanganya
Hahahaha ebu endelea kusifia bwana
Halafu usikute hana lolote
una mikwala sanaNilikuwa nachomekea tu, hivi kwani mwanaume unaweza kumchunga kwa kutosifia kisa asichepuke??? Hahahaha kanuni yangu huwa ni moja nisijue na nakwepa kujua kuwa kuna mtu nashea nae
una mikwala sana
we mtoto tema mate chini niwe mke wa huyo nimemkosea nini muumba mie??
nitue kabisa mtoto wa mwanamke mwenzio!!
Naanza tu jamaniunaanzaje labda
Ila na wewe umo umo.
Dada uliwatoa watu wote kimasomaso uzi wa nyenyerecomments 1000 peke yako.







niombee tu ndugu yangu ndiyo maana nasema siwezi kuolewa na huu ubishi sitaki kumtesa mtoto wa mtu mimi yaani nikiona nimeshindwa kabisa kuacha ubishi basi bora nisiolewe tu nitafute hela niwe nazurura duniani huko
Huwezi mchunga kabisaaNilikuwa nachomekea tu, hivi kwani mwanaume unaweza kumchunga kwa kutosifia kisa asichepuke??? Hahahaha kanuni yangu huwa ni moja nisijue na nakwepa kujua kuwa kuna mtu nashea nae
Inawezekana kabisaUsikute ndo swaga zake za kiuwindaji
Mdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254
Kwani huna habari?Alishakupiga?