Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaaa. Natamani saa zingine nisiwe mbishi ila nashindwa.
Juzi nimekaa na wababa wazee kabisa nilibishana nao hao. Nahisi walivyoondoka pale walinisema sio kwa ubishi wangu halafu nawapa na facts sio nabisha tu.

Siku nyingine nilishawahi kubishana na wengine kuhusu siasa yani bar nzima wakakaa wanatusikiliza

Tuache tabia ya ubishi sio nzuri
Mbona wako wengi tu humu maconcord wa ubishina hata sitaki kuwafikia aise maana zamani nilikuwa mbishi hadi nikawa najikubali, mimi nilishawahi kushikiwa bunduki na rafiki yangu fulani hivi sababu ya ubishi.

Ilifika kipindi ndugu zangu wakawa wananiambia nilipaswa nisomee sheria niwe wakili nikasimame mahakamani huko ili nibishane vizurimaana dunia hii hakuna watu wabishi kama mawakili

Hadi sasa nikaanza kujiogopa nikasema mmhh ngoja tu nipunguze ubishisecondary sasa nilikuwa nabishana mpaka na waalimu kwenye marekebisho ya mitihani ile kutafuta marks za mezani yaani nilikuwa nahakikisha wananiongezea

Kwa matraffic sasa hapa ndiyo sitaki kuongea sanakuna matraffic wa maeneo fulani hivi huku wamenikariri, ila yote tisa kumi sijamfikia mtu fodo hivi anayebishana hadi na muumba yaani yule ni another level.
 
Wewe mwanaume mwenye tabia za kike narudia tena UNIKOME. Sikujui hunijui unaanzaje kuniongelea ufala?

Kwanza sipendagi mazoea na mashoga tuheshimiane tafadhali.
Tapeli nilikutapeli wewe? Kwanza hela huna nakutapeli mambupu au? NIKOME
mama naona sasa unataka kujiharibia CV yako ya kutokula ban tangu ujiunge JF
 
Uncle acha uzi uendelee in peace...huu uzi una wafuatiliaji wengi kuliko wanaochangia(nikiwemo mie)

Tuenjoy na picha chache zinazotumwa
Nimetoa angalizo tu watu wawe naye makini.

Hata dini inatufundisha tukiona jambo baya tuliondoe kwa mkono, kama si kwa mkono tulikemee, kama sio kukemea tujiepushe nalo.
 
Achana na huyo takataka. Halafu sijui nilimbebea bwana. Maana kanikalia kooni utasema nashea nae. Nishamwambia asinizoee ila akiniona tu genye zinampanda.
Na hata kama natapeli nishamwambia natapeli wenye hela sio maskini kama yeye
hahahahaha tabia za Aina hii sio poa kabisa kwa ME.
Usiwaze nafahamu fika mambo ya watu humu
 
Back
Top Bottom