mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
wadanganye wengine weweNa wewe na ujanja wako unaamini huyo mdogo wangu ni mimi
wadanganye wengine weweNa wewe na ujanja wako unaamini huyo mdogo wangu ni mimi
Mbona wako wengi tu humu maconcord wa ubishina hata sitaki kuwafikia aise maana zamani nilikuwa mbishi hadi nikawa najikubali, mimi nilishawahi kushikiwa bunduki na rafiki yangu fulani hivi sababu ya ubishi.
Ilifika kipindi ndugu zangu wakawa wananiambia nilipaswa nisomee sheria niwe wakili nikasimame mahakamani huko ili nibishane vizurimaana dunia hii hakuna watu wabishi kama mawakili
Hadi sasa nikaanza kujiogopa nikasema mmhh ngoja tu nipunguze ubishisecondary sasa nilikuwa nabishana mpaka na waalimu kwenye marekebisho ya mitihani ile kutafuta marks za mezani yaani nilikuwa nahakikisha wananiongezea
Kwa matraffic sasa hapa ndiyo sitaki kuongea sanakuna matraffic wa maeneo fulani hivi huku wamenikariri, ila yote tisa kumi sijamfikia mtu fodo hivi anayebishana hadi na muumba yaani yule ni another level.

















.


comments 1000 peke yako.MAFURUSHIJamaani guyz, naombeni popote pale mlipo tusimame na tufumbe macho tuwaombee toba wale mafurushi wote waliodai JF haina watoto wakali..!!


Somo limeeleweka.
Na somo lenyewe ni kila mtu aishi maisha yake bila kuingilia Uhuru wa mwenzake.
Hata kama mimi ni mbaya sio sababu ya wewe kunisimanga.
Hata kama sina kazi nashinda jf, kama sijakuomba hela hauna sababu ya kunisimanga.
Kama najiuza pia hauna haki ya kunisimanga.
Kama nafake maisha ndio kabisaaa hauna haki ya kunisimanga ukitaka na wewe fake.
Melo hakukosea kuita jf ni jukwaa huru. Sio watu wengine wanataka tuishi kwa kuwalamba miguu kisa unahisi anapicha yako ataipost. Hiyo haipo tena.
Asanteni sana jeshi la wanawake mliojitolea kutokomeza hii tabia.
😘😘 emu tudodorishie basi, ujue mpaka wakisema ni wa google unakuwa ni wivu kiwango cha Lami 😀 afu ujue server ya Melo iko vizuri sana haiwezi kukwama kwa namna yoyote😁😁😁 Nikitupia mguu hapa Server zitazimika ghafla halafu ntaambiwa nimeugoogle!
AiseeeWake wakubwa hawawezi kutuma humu ila huyu wa tatu hatabiriki kabisa.
Hata sikumuacha, akaishia kunitukana na kusema hanijibu tenana wewe haukuwa mpole ni mwendo wa tit for tat



kuna picha iliwekwa umu kuwa ni wewe na sasa naamini 100% kuwa ni kweli. Hata aje shetani msimamo wangu ni uleuleUkame wa picha View attachment 1222549

Acha kabisa,hizi kazi tunaziweza wachache sana tuliochaguliwa.Aiseee
.Zinamuhusu muhusika mrembo.
Ukifanya kama hujaona sisi waungwana tunasema ni aula zaidi.
Kwetu huku tunasema hivi vya siri ni sirini na dhahiri hadharani.
Nazungumza na niliyemtaja.



we mtoto tema mate chini niwe mke wa huyo nimemkosea nini muumba mie??


nitue kabisa mtoto wa mwanamke mwenzio!!tuwekee tuone😁😁😁 Nikitupia mguu hapa Server zitazimika ghafla halafu ntaambiwa nimeugoogle!
Jamaani guyz, naombeni popote pale mlipo tusimame na tufumbe macho tuwaombee toba wale mafurushi wote waliodai JF haina watoto wakali..!!
we mtoto tema mate chini niwe mke wa huyo nimemkosea nini muumba mie??
nitue kabisa mtoto wa mwanamke mwenzio!!








we mtoto tema mate chini niwe mke wa huyo nimemkosea nini muumba mie??
nitue kabisa mtoto wa mwanamke mwenzio!!











We sitaki hata ligi na weweMbona wako wengi tu humu maconcord wa ubishina hata sitaki kuwafikia aise maana zamani nilikuwa mbishi hadi nikawa najikubali, mimi nilishawahi kushikiwa bunduki na rafiki yangu fulani hivi sababu ya ubishi.
Ilifika kipindi ndugu zangu wakawa wananiambia nilipaswa nisomee sheria niwe wakili nikasimame mahakamani huko ili nibishane vizurimaana dunia hii hakuna watu wabishi kama mawakili
Hadi sasa nikaanza kujiogopa nikasema mmhh ngoja tu nipunguze ubishisecondary sasa nilikuwa nabishana mpaka na waalimu kwenye marekebisho ya mitihani ile kutafuta marks za mezani yaani nilikuwa nahakikisha wananiongezea
Kwa matraffic sasa hapa ndiyo sitaki kuongea sanakuna matraffic wa maeneo fulani hivi huku wamenikariri, ila yote tisa kumi sijamfikia mtu fodo hivi anayebishana hadi na muumba yaani yule ni another level.
Aisee,unataka kuwatapeli tena kama mwaka janaPm mtapata picha nusu bado. Fanyeni mpango twende lunch au dinner sehemu. Isiwe gharama tu maana mie kujilipia 20k naweza kufa