Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha mkwara
Huwa siitiki mpaka niitwe,subiri ajichanganye sasa uone nitakacho mfanya.

Si unajua lulu huwa nzuri zaidi ikiwa kwenye jumba lake,sasa atoke kwenye jumba aone nitakacho mfanya.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake,, we kimbia tu wakujilipua tuko hapa
Naona kimbunga Kenneth kimehamia humu

Aisee kimbunga kikali Sana...bomu limelipuka,kisije kunibeba..wacha kiondoke Mimi.
Mshana Jr Kaka nilikwambia usipulize Tena dawa nimeshika wingu
Unaona Sasa ulivyo changanya mambo huku

Naenda tatu kavu kushika wingu.
Bye
 
Kazi? Afanye kazi saa ngapi na apate muda saa ngapi wa kuzunguka pm kutafuta picha za wadada wa jf.
Ona hapo amesema ana file kabisa na atakuwa anachomoa betri kwa mmoja mmoja. Sasa huyo kazi anafanya saa ngapi.

ACHOMOE SASA TUONE. hata akichomoa kwa ID nyingine mwandiko wake naujua. Picha ya mdada yoyote itakayochomolewa betri nanunua ugomvi.View attachment 1223267

Kuota nako kunaruhusiwa jamani, ipo siku atazifikia ndoto zake.

Ila Kati ya watu hawana credibility ya kumrekebisha mtu mtu nae Ni mmoja wapo. Atuliege tu.
 
Kwani kusifiwa dhambi? Embu acha watu wafanye wanayotaka we kama unajua ukituma yako hatutakusifia jitulize
Hapa namzungumzia mke wangu wa tatu khasa,naona utakuwa umesoma vibaya nilichikiandika.

Mpaka najiuliza kwanini hukujibu nilichokiandika.
 
Na sasa hivi nimeenda kuangalia kuna uzi naona ameongea na mods waung'oe.
Jana ulikuwepo na nilisoma zote nashangaa Leo zipo mbili tuu.
Ni wazi somo limemuingia mi kwangu ni furaha, hizi fujo sizipendi kabisa lakini inapobidi kuingia nakuwa sina namna,, nimeshakosana na mabaharia wengi tu humu sababu ya hizi fujo......vichwani mwao itakuwa naitwa mama kiherehere but i don't care
 
Back
Top Bottom