Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pamoja na ubishi wako wote Karma ila kwa huyu dada huingii hata robo
Mbona wako wengi tu humu maconcord wa ubishina hata sitaki kuwafikia aise maana zamani nilikuwa mbishi hadi nikawa najikubali, mimi nilishawahi kushikiwa bunduki na rafiki yangu fulani hivi sababu ya ubishi.

Ilifika kipindi ndugu zangu wakawa wananiambia nilipaswa nisomee sheria niwe wakili nikasimame mahakamani huko ili nibishane vizurimaana dunia hii hakuna watu wabishi kama mawakili

Hadi sasa nikaanza kujiogopa nikasema mmhh ngoja tu nipunguze ubishisecondary sasa nilikuwa nabishana mpaka na waalimu kwenye marekebisho ya mitihani ile kutafuta marks za mezani yaani nilikuwa nahakikisha wananiongezea

Kwa matraffic sasa hapa ndiyo sitaki kuongea sanakuna matraffic wa maeneo fulani hivi huku wamenikariri, ila yote tisa kumi sijamfikia mtu fodo hivi anayebishana hadi na muumba yaani yule ni another level.
 
Ni wazi somo limemuingia mi kwangu ni furaha, hizi fujo sizipendi kabisa lakini inapobidi kuingia nakuwa sina namna,, nimeshakosana na mabaharia wengi tu humu sababu ya hizi fujo......vichwani mwao itakuwa naitwa mama kiherehere but i don't care
Somo limeeleweka.
Na somo lenyewe ni kila mtu aishi maisha yake bila kuingilia Uhuru wa mwenzake.
Hata kama mimi ni mbaya sio sababu ya wewe kunisimanga.
Hata kama sina kazi nashinda jf, kama sijakuomba hela hauna sababu ya kunisimanga.
Kama najiuza pia hauna haki ya kunisimanga.
Kama nafake maisha ndio kabisaaa hauna haki ya kunisimanga ukitaka na wewe fake.
Melo hakukosea kuita jf ni jukwaa huru. Sio watu wengine wanataka tuishi kwa kuwalamba miguu kisa unahisi anapicha yako ataipost. Hiyo haipo tena.

Asanteni sana jeshi la wanawake mliojitolea kutokomeza hii tabia.
 
Somo limeeleweka.
Na somo lenyewe ni kila mtu aishi maisha yake bila kuingilia Uhuru wa mwenzake.
Hata kama mimi ni mbaya sio sababu ya wewe kunisimanga.
Hata kama sina kazi nashinda jf, kama sijakuomba hela hauna sababu ya kunisimanga.
Kama najiuza pia hauna haki ya kunisimanga.
Kama nafake maisha ndio kabisaaa hauna haki ya kunisimanga ukitaka na wewe fake.
Melo hakukosea kuita jf ni jukwaa huru. Sio watu wengine wanataka tuishi kwa kuwalamba miguu kisa unahisi anapicha yako ataipost. Hiyo haipo tena.

Asanteni sana jeshi la wanawake mliojitolea kutokomeza hii tabia.
Aseee mamy hebu Pata kikombe cha maziwa hapo kwa mama koku
 
Hizi mbwembwe zinatuhusu???

nadhani ungemwambilia pm tu
Zinamuhusu muhusika mrembo.

Ukifanya kama hujaona sisi waungwana tunasema ni aula zaidi.

Kwetu huku tunasema hivi vya siri ni sirini na dhahiri hadharani.

Nazungumza na niliyemtaja.
 
Back
Top Bottom