Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakazia FURUSHI
Ndio ajue hata sisi ni wapenzi/wake za wanaume wenzie na uzuri wetu wanauona wao kama ambavyo wa mkewe anauona yeye. Yeye anaumia wake kupewa makavu live wakati bingwa wa kupaka wenzie

Eti hatuna kazi ye mwenye kazi nzuri kapata wapi muda wa kufuatilia wanawake wa humu na kujua muda wote wapo online!!!

FURUSHI.
 
Yaani kosa la mtu mmoja ukandie watu wote.
Ajifunze kwetu, kosa ni lake na tumedeal nae yeye bila kuhusisha wanaume wengine wa jf.
Sio umekutana na sample moja haijakuridhisha ndio unajidai umeiona jf nzima.
Yes wamo wanaume humu wema na wabaya na nimeshakutana nao lkn siwezi kuponda wote kisa hao wabaya wachache walionikwaza,
 
Hahaha katika vitu sipendi ni dhihaka mpaka kumfanya mtu akakosa uhuru na kujiamini!!! Halafu vifanywe na mwanaume!! alimkosea sana demiss na juzi nilimwambia kiungwana tu amuombe radhi
Alimkosea nana halafu eti ndio anajiona ana malezi mazuri na wenzie wana malezi mabovu. Mie nilimpa makavu vikamuingia akaishia kunitukana.
 
Ndio ajue hata sisi ni wapenzi/wake za wanaume wenzie na uzuri wetu wanauona wao kama ambavyo wa mkewe anauona yeye. Yeye anaumia wake kupewa makavu live wakati bingwa wa kupaka wenzie

Eti hatuna kazi ye mwenye kazi nzuri kapata wapi muda wa kufuatilia wanawake wa humu na kujua muda wote wapo online!!!

FURUSHI.
Kazi? Afanye kazi saa ngapi na apate muda saa ngapi wa kuzunguka pm kutafuta picha za wadada wa jf.
Ona hapo amesema ana file kabisa na atakuwa anachomoa betri kwa mmoja mmoja. Sasa huyo kazi anafanya saa ngapi.

ACHOMOE SASA TUONE. hata akichomoa kwa ID nyingine mwandiko wake naujua. Picha ya mdada yoyote itakayochomolewa betri nanunua ugomvi.
IMG_20191004_105546_440.JPG
 
Naona kimbunga Kenneth kimehamia humu

Aisee kimbunga kikali Sana...bomu limelipuka,kisije kunizoa Mimi walahi na hizi kilo zangu mbili..wacha niondoke Mimi.
Mshana Jr Kaka nilikwambia usipulize Tena dawa nimeshika wingu
Unaona Sasa ulivyo changanya mambo huku

Naenda tatu kavu kushika wingu.
Bye
 
Back
Top Bottom