Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,363
- 176,189



una ujinga mwingi.
Yesu yuko mbinguni huko mbali shetani tuko naye hapa



una ujinga mwingi.
Yesu yuko mbinguni huko mbali shetani tuko naye hapa




. Mi jamani nguo zimeanza kuwa kubwa kwangu. Hii jeans yenyewe nimevaa kila muda naipandisha
Picha ya mdogo wangu ya zamani hiyo ujue ila kama sasa hivi kaanza kunenepa mana jeans zake nyingi hazipiti
Asalaleee

Tena alikuwa anasema mwezi mzima mfululizo.Aisee kumbe ndio alichosema?..
![]()
Band tu ya kukopy mama ila wanapiga vizuri 13 mega pixel jirani leo nahisi nitakuwa maeneo yako ya golden park tutaonana eti
Wananzengo wana nyongo balaa
Haki ya Nani nyie sio wazima
Mimi Ni back up tu jamanina wewe kakorofi ka chini chini.












Nina historia mimi.
Nilimwambia hana hela, pesa ya kulipia atatoa wapi atulie tuu na awe mpole.
.
Kilichofuata akaniambia ananilipia mimi niende. Na bado akanitumia na hela ya uber hiyo Siku nisiteseke.
Alijua kunikomesha mpaka leo nina heshima debe.
hahahaha u need to fix the camera tho mafisi tuweze enjoy zaidi😋😋
Mbona hapa kwenye hii picha ni mwembamba sana.
Umeanza diet nini. Mimi hizo paja ukichanganya ni langu moja.
Sura ya babangu we sifia mwili tuUnatisha aisee
We ni mrembo sana, una kifua kizuri mno







Macho yenu yanaona kama mimi!Mdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254
Kuna watu mmeamua kutuchukulia mabwana zetu kwa hizi pics zenu, nimeacha na kusifia saiv,Mdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254
Kama nakuona tabu unayopata
nikifanya unafki roho huwa inaniuma ninaweza nisipate hata usingizi.





hahahaha u need to fix the camera tho mafisi tuweze enjoy zaidi![]()
😂😂Tahadhari :
Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu.
Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha.