Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,174
She's cute 😘 msalimieMdogo etu love![]()
She's cute 😘 msalimieMdogo etu love![]()
Na sasa hivi nimeenda kuangalia kuna uzi naona ameongea na mods waung'oe.
Jana ulikuwepo na nilisoma zote nashangaa Leo zipo mbili tuu.![]()






😂😂jamaa yako anakojolea pazuriChizi wewe
We wanawake wote kwenye huu uzi unawataka!! Ngoja nikajianike nikauke tu hakuna namna



Jinsi alivyokuwa ana chat na kamanda kapeace Wanazengo tulitulia nikajisemea yes huyu Nyumbu lazima aingie kwenye mtego na kweli kaweka picha ya mwewe wake maana si kwa kucha chafu zile.








Kumbe na wewe umoDada mwajuma wa mbagala.Aloooooo
We ni mwisho wa matatizo mwajuma wa uzunguni

Mlengwa hapo ni mke wangu wa tatu,kisha nikawakilisha wingi kwa umoja.And yet haukauki kwenye huu uzi, hebu acha turushe picha zetu kwa raha zetu. Hivyo vitisho vyako watumie wakezo msg.
Si mpaka akili ziwepoSi waliambiwa waishi na sie kwa akili sasa sijui wanakwama wapi hawa watu




😀We Depal wewe..Nikuone 😂 ukishindwa hapa basi hata kule uwanja wa nyumbani
Dada umesemaaa!!!?
Nimeshatega makombora,ajichanganye tu.Kama humsifii mkeo wapo wasifiaji,, andaa panadol kabisa
Leo nageuka.
Nikitoka shule maana leo nimepigilia nguo ya kitenge haioneshi mambo vizuri![]()
Jinsi alivyokuwa ana chat na kamanda kapeace Wanazengo tulitulia nikajisemea yes huyu Nyumbu lazima aingie kwenye mtego na kweli kaweka picha ya mwewe wake maana si kwa kucha chafu zile.




Mr perfect alikamatika.
Kuota nako kunaruhusiwa jamani, ipo siku atazifikia ndoto zake.
Ila Kati ya watu hawana credibility ya kumrekebisha mtu mtu nae Ni mmoja wapo. Atuliege tu.







.
Hayasahauliki kwa kweli.
Mwanamke mkosee akikaa kimya usijidanganye umeshinda, tukiamua kurudisha mashambulizi shetani mwenyewe anakaa pembeni ajifunze kutoka kwetu.
Usijisahaulishe picha yako we mamaJinsi alivyokuwa ana chat na kamanda kapeace Wanazengo tulitulia nikajisemea yes huyu Nyumbu lazima aingie kwenye mtego na kweli kaweka picha ya mwewe wake maana si kwa kucha chafu zile.
Na wewe na ujanja wako unaamini huyo mdogo wangu ni mimikuwa wewe mweupe sana
Zimefika babe ila ako na sura ya babaShe's cutemsalimie
Me na chama langu tutakupigia za kutosha na venye tulivyo na nguvu ya ushawishi 😀😀We Depal wewe..
Unataka wapiga kura wangu wasinichague kipindi kijacho!