Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hakika, ni jambo la kumshukuru MunguVizuri sana kama ni kwema kabisa mkuu
Kwangu nashukuru MUNGU ni salama/kwema kabisa mpendwa.
Hakika, ni jambo la kumshukuru MunguVizuri sana kama ni kwema kabisa mkuu
Kwangu nashukuru MUNGU ni salama/kwema kabisa mpendwa.
AminaHakika, ni jambo la kumshukuru Mungu
Hahah ahsante sana. Ntakuja kula nyama na kunywa maziwaAmina
Karibu Bariadi-Simiyu
Akhsante kushukuruHahah ahsante sana. Ntakuja kula nyama na kunywa maziwa
Daah ahsante sana mwenyeji wanguAkhsante kushukuru
Naomba kuwa mwenyeji wako siku unakuja kula nyama na kunywa maziwa
Karibu sana usukumaniDaah ahsante sana mwenyeji wangu
Mpaka sasa bado zinasambazwa!hapana bhana
Una bahati ya kufahamiana na watu makini sana ambao hawawezi kuvujisha picha zako hata iweje sie wengine tulishakosea njia saa hii picha zetu zishasambazwa huko
Usinambie bas? Usijar nataka unifundshe vizuriiiih.nomba kazi ya kukufundisha
Ukweli kabisa ulee,Sasa sijui alikuwa anamtania, ingawa utani gani huo ambao ni kweli tupu mweeh



Lulu alikua ana heka heka, yaan anawapangia watu kwenye magari ya kupanda, kuelekea hotelini.Duh
Kazi kweli.
Sikuona hata... niliona tu mtu kaweka status watsap wakiwa wanaingia kanisani na lile gauni lake tumbo lote liko nje.





Mweenisiye na Insta hapa natoa macho nashangaa tu kama Gerald alivyokuwa anashangaa jana ulivyomuandikia "HOE"



sasa si u install app ya IG?Ndiyo nimekutag.Mwee na Mimi umenitag
Isambaze tu shemeji yangu.ukiichoka uimeze itembee damuniKama hii naomba niisambaze shemeji yangu kipenzi mzuriView attachment 1708261
Una slay ndani ya wota.
Jini mpiga gym huyu,





No siyo Sasa hivi, kitambo hicho.Mpaka sasa bado zinasambazwa!hapana bhana
Yeah hawa wakongwe wengi wanafahamiana sana na wanaheshimiana sana hauwezi kukuta wanatangaza kijingajinga kuwa eti wanafahamiana! Shida ipo kwetu sisi wa juzi juzi nakwambia mtu akifahamiana na mtu hasa anayekubalika atataka jf nzima ijue!





ili iweje sasa.Nyie hampatagi dharura? Hamtegukagi nyonga na kuumwa visukari, sisi huwa tuna-survive ipi?









kuteguka nyonga nimechekaah had baas.Kipindi hicho ukiwa bado huna chura!😄😄😄Nilianziaga hapa....View attachment 1708186