Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Yaani kuna topics daah, unahisi ukiandika hutomaliza yote aisee
Hapo kwenye kuingia ndani ya simu nakuelewa kabisaa jamani
Hapo kwenye kuingia ndani ya simu nakuelewa kabisaa jamani
Mweenisiye na Insta hapa natoa macho nashangaa tu kama Gerald alivyokuwa anashangaa jana ulivyomuandikia "HOE"
Mwee na Mimi umenitagJomoneeeh kumekucha huko, dunia tamu hii wallah, ndoa iliyofungwa juzi leo waanza kutupiana vijembe vya mali,
Wakili albeto msando aingilia kati kumueleza lulu kuwa mali za majizzo alizochuma kabla ya ndoa hazimuhusu.
Wapendwa zangu cc na moms nimewatag huko.
Na ukizingatia hata hayo kidogo unayoandika nayo bado watu hawakuelewi! Inahitaji moyo kwa kweli!Yaani kuna topics daah, unahisi ukiandika hutomaliza yote aisee
Mtu kama hamjui anaweza kudhani ataweka kweli
Huyu mzee jina lake limetrend Sana.



Kumbe wenzie tuna mwaka wa Saba huu tunasubiri hizo pichaMtu kama hamjui anaweza kudhani ataweka kweli
Mie story yake niliishia Episode ya kwanza tuHuyu mzee jina lake limetrend Sana.
Kila uzi wa kuomba ushauri lazima wamtag"eti kwani mwitore anasemaje"![]()
Yaani imefika 6 anasema niache tu mama nitoboe Ozone
Nikambembeleza asikeshe wapi hakunisikia hata








hahahahahha HOE iliniwazisha sana....nikajiona kweli mimi jf sio mkongweMweenisiye na Insta hapa natoa macho nashangaa tu kama Gerald alivyokuwa anashangaa jana ulivyomuandikia "HOE"
duuuh nasubiri Meli ubungo??Kumbe wenzie tuna mwaka wa Saba huu tunasubiri hizo picha



Mi hadi nishakata tamaaKumbe wenzie tuna mwaka wa Saba huu tunasubiri hizo picha
Mimi nilijitahidi kusoma yoteMie story yake niliishia Episode ya kwanza tu
Ila Yuko poa
hahahahahha HOE iliniwazisha sana....nikajiona kweli mimi jf sio mkongwe







Iliishia Episode ya ngapiMimi nilijitahidi kusoma yote
Si ni Life tuduuuh nasubiri Meli ubungo??![]()
sure karma.....ni maisha tuuSi ni Life tu