Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Hahaha ila mdogo angu unajua kunisnitch khaaa






Tulishanena kwa lugha zote humu
Za wanadamu na malaika ila hatujaambulia picha japo ya kidole tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ila mdogo angu unajua kunisnitch khaaa






😅😅😅®️™️
Nitaiweka tu😊
mama john😇😇😇We mnyakyusa wa wapi wewe?![]()
Hakika mkuusure karma.....ni maisha tuu
wengine tutuonana huko mbinguni
Afu nyie mnafikiri kila siku nazingua eeh, ntawa-surprise![]()




Tena wewe nina surprise yako, ona hadi nimeropoka sasa




Mimi simfikii hata robo.Nikimchora mtu naweza kujikuta namchora jini!


kama hilo apo. Ha haaaa haaa Hahaaa aisee noma sana. Jini lina six pack kama zote.
Hee scary!
Anhaaa kuna nguo flani ivi nanunua afu natupia then najiselfisha.
Daaah! ndio bwana,Hahahhaha kwenye usaliti huwa naandika hadi natamani niingie ndani ya simu. Sio wewe ulitoa mfano wa mmama aliyekuja kumsamehe mumewe uzeeni sijui?