Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Msimamo wangu juu ya usaliti hauwezi kubadilika. Especially mwanaume anapokuacha akiwa asset, anarudi uzeeni akiwa liability afu eti umpokee "mume wangu" aseeeee
Wewe unaamini ile falsa ya mwanamume kwa mwanamke mmoja ni kitu kisichowezekana?
 
Naamini ni kitu kinachowezekana kabisa, ni mtu anaamua tu
Wewe kama mwanamke najua unajua kuna wakati mnakua na dharura, na hio dharura inaweza kudumu hata miezi 6 na kuendelea, unadhani mwenzako ataishi vipi katika situation Kama hio?
 
Back
Top Bottom