Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,886
- 37,843
Sijui ukushabadilishaga msimamo?Hahahhaha kwenye usaliti huwa naandika hadi natamani niingie ndani ya simu. Sio wewe ulitoa mfano wa mmama aliyekuja kumsamehe mumewe uzeeni sijui?
Sijui ukushabadilishaga msimamo?Hahahhaha kwenye usaliti huwa naandika hadi natamani niingie ndani ya simu. Sio wewe ulitoa mfano wa mmama aliyekuja kumsamehe mumewe uzeeni sijui?
Daaah! ndio bwana,
Ila wewe uko na kumbu kumbu sana
Sijui ukushabadilishaga msimamo?
Hakika mkuu
Huyu Heaven Sent acha tusubiri tu kumuona huko huko Heaven kwa Baba
Kwa hakika leo mmeniamulia jamani, mtaniona hapahapa JF. Afu ujue mimi najulikana sana physically, so issue ya picha wala sio big deal[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmhh hakika hiyo siku jf itasimama aisee
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona nimeona wivu mimi jamani
Wewe unaamini ile falsa ya mwanamume kwa mwanamke mmoja ni kitu kisichowezekana?Msimamo wangu juu ya usaliti hauwezi kubadilika. Especially mwanaume anapokuacha akiwa asset, anarudi uzeeni akiwa liability afu eti umpokee "mume wangu" aseeeee
Wewe unaamini ile falsa ya mwanamume kwa mwanamke mmoja ni kitu kisichowezekana?
Wewe kama mwanamke najua unajua kuna wakati mnakua na dharura, na hio dharura inaweza kudumu hata miezi 6 na kuendelea, unadhani mwenzako ataishi vipi katika situation Kama hio?Naamini ni kitu kinachowezekana kabisa, ni mtu anaamua tu
🤣🤣🤣Rafiki huyo ni mimi kabisa!😆[emoji2960][emoji2960][emoji2960] kama hilo apo. Ha haaaa haaa View attachment 1707661
Itakuwa kuzimu Kuna gymHahaaa aisee noma sana. Jini lina six pack kama zote.
Duh,watu wazima huwa tunapiga picha na nguo za zamaniAnhaaa kuna nguo flani ivi nanunua afu natupia then najiselfisha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hakika leo mmeniamulia jamani, mtaniona hapahapa JF. Afu ujue mimi najulikana sana physically, so issue ya picha wala sio big deal
Umeona eeh[emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Una bahati ya kufahamiana na watu makini sana ambao hawawezi kuvujisha picha zako hata iweje sie wengine tulishakosea njia saa hii picha zetu zishasambazwa huko
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hahaha subiri na wewe surprise yako bana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona nimeona wivu mimi jamani
So huwa mnataka Wanawake wafanyeje mkuuWewe unaamini ile falsa ya mwanamume kwa mwanamke mmoja ni kitu kisichowezekana?
Tutakutana mawinguni[emoji1787]Hakika mkuu
Huyu Heaven Sent acha tusubiri tu kumuona huko huko Heaven kwa Baba
[emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]