B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Ata ivo siwezi kukuelewa umri wangu umeenda sana.A wapi.
Ile aliyoitoa kuna namna imekaa kitumishi..mimi huwa naona ina upako fulani,huwezi nielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata ivo siwezi kukuelewa umri wangu umeenda sana.A wapi.
Ile aliyoitoa kuna namna imekaa kitumishi..mimi huwa naona ina upako fulani,huwezi nielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mnagawana keki ya taifa.
Kinaendelea nini hapo?






alooh.....mwendo wa maji na juisiwakati najiunga na jf huyu ni Heaven Sent mwenyeweDoh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu.
Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi huyu ni nani??Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu.
Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila she is very talented! I wouldn't think of anything like that!Ha haaaa. Sijui aliwaza nini my baby girl mpk akachora hio picha
Hahaaa tatizo ni kwamba wewe siyo mmbea my lovely dada. Ila wambea wote walishazinyaka.Hahaha mbona mimi sijazipata hizo zako jamani mweeh
Basi na ninyi siku mkiyabananga huko nje mkarudi kwa Wake zenu wakakataa kuwapokea mkubali tu muwe wapole wala msilete kelelewakubali tu ipo siku watachitiwa
Haha id yako ya zamani ni gani! Kwangu member wa 2018 siyo mkongwe wala hata hakaribiani na ukongwe (simaanishi umri wake halisi)!Kiukweli wakongwe hatuna shida kabisa siunajua utu uzima dawa mama.
Hahaha Kalumbu yani unataka nikakutag kwenye pm na whatsapp za watu kwelinitag ambapo zipo picha zako.....karma
Halafu nimekumbuka hiyo avatar uliyoitoa niliona imebandikwa kwenye mlango wa salon fulani hivi kule Arusha nikakukumbukaHahahaa hiyo mbona lazima irudishwe; huyo ndiye HS sasa, hawa wengime wasaidizi tu. Nampumzisha kidogo
Ahsante mdogo wangu
Aiseeewakati najiunga na jf huyu ni Heaven Sent mwenyewe

Sikio halikuwahi kuzidi kichwa hata wakati mmoja.Basi na ninyi siku mkiyabananga huko nje mkarudi kwa Wake zenu wakakataa kuwapokea mkubali tu muwe wapole wala msilete kelele