T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,092
Hahahahahaha.......mimi huyu nimeze picha/sura ya mtu/mwanamke?Isambaze tu shemeji yangu.ukiichoka uimeze itembee damuni
Vipi kwema lakini mkuu
Hahahahahaha.......mimi huyu nimeze picha/sura ya mtu/mwanamke?Isambaze tu shemeji yangu.ukiichoka uimeze itembee damuni
Sikuona AiseeNdiyo nimekutag.
Mmmmmh
Umejuaje yani ningeingia kwenye simu nije nikukumbatie
Hata Najua basi mwayaili iweje sasa.
Vipi Ely unaumwa jinoMmmmmh
Haha...ulijuaje kama kipindi hicho hakuwa na chura mkuu?Kipindi hicho ukiwa huna chura!![]()



Kipindi hicho ukiwa huna chura!![]()
Vizuri sana kama mambo ni safi kabisa mkuuMambo safi kabisa ELY
Sijui Kwako
Unaonekana ni chibonge
Hata Najua basi mwaya



kuna siku member mkongwe na wa heshima kanichek pm, kaanza kutuma pic zangu, nilichoka skuwahi jua nae kama ananfatilia mie. LolTangu jana mbnaSikuona Aisee
Vizuri sana kama mambo ni safi kabisa mkuu
Kwangu mimi ni poa/salama kabisa mkuu


Hii ndo nzuri sana, iweke bas mommyNilianziaga hapa....View attachment 1708186
Amina
AMEN
Niliona tu kanisani mara ahangaike na mauaLulu alikua ana heka heka, yaan anawapangia watu kwenye magari ya kupanda, kuelekea hotelini.![]()
nikasema kweli harusi imepata mwenyewe

Hadi account ninazo huko.sasa si u install app ya IG?
Ile ya upako ndio mwisho wa matatizoNilianziaga hapa....View attachment 1708186

