cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Jomoneeeh kumekucha huko, dunia tamu hii wallah, ndoa iliyofungwa juzi leo waanza kutupiana vijembe vya mali,
Wakili albeto msando aingilia kati kumueleza lulu kuwa mali za majizzo alizochuma kabla ya ndoa hazimuhusu.
Wapendwa zangu cc na moms nimewatag huko.
Wakili albeto msando aingilia kati kumueleza lulu kuwa mali za majizzo alizochuma kabla ya ndoa hazimuhusu.
Wapendwa zangu cc na moms nimewatag huko.





nisiye na Insta hapa natoa macho nashangaa tu kama Gerald alivyokuwa anashangaa jana ulivyomuandikia "HOE"