Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jomoneeeh kumekucha huko, dunia tamu hii wallah, ndoa iliyofungwa juzi leo waanza kutupiana vijembe vya mali,
Wakili albeto msando aingilia kati kumueleza lulu kuwa mali za majizzo alizochuma kabla ya ndoa hazimuhusu.
Wapendwa zangu cc na moms nimewatag huko.
 
Jomoneeeh kumekucha huko, dunia tamu hii wallah, ndoa iliyofungwa juzi leo waanza kutupiana vijembe vya mali,
Wakili albeto msando aingilia kati kumueleza lulu kuwa mali za majizzo alizochuma kabla ya ndoa hazimuhusu.
Wapendwa zangu cc na moms nimewatag huko.
Hiyo comment ya Msando mbona ilikuwa kabla ya ndoa bana
 
kubabeek......ndio unasema bill anaonekana anaweza acha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



hali ya hewa ya mbeya inashawishi kuchangia kodi...kuna uwezekano leo nikapiga angalau 2
Yaani imefika 6 anasema niache tu mama nitoboe Ozone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Nikambembeleza asikeshe wapi hakunisikia hata
 
Jomoneeeh kumekucha huko, dunia tamu hii wallah, ndoa iliyofungwa juzi leo waanza kutupiana vijembe vya mali,
Wakili albeto msando aingilia kati kumueleza lulu kuwa mali za majizzo alizochuma kabla ya ndoa hazimuhusu.
Wapendwa zangu cc na moms nimewatag huko.
Kazi ipo[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni tz pekee kuna kila aina ya tukio
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza uliona video wakat wametoka kansan? Lulu anahaha hatulii yaan ni heka heka, aliniacha hoi eti "jamani simu yangu iko wapi nataka niingie insta"
Nilicheka nusu nizimie uwiiiiiih.
Duh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2]
Kazi kweli.

Sikuona hata... niliona tu mtu kaweka status watsap wakiwa wanaingia kanisani na lile gauni lake tumbo lote liko nje.
 
Back
Top Bottom