Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
Duuuuh poleeeh bas, ila mie now time JF ndo 1St choice, then IG, watsapp ilishanishinda wallah.Hadi account ninazo huko.
Shida siyo kuinstall..
Shida ni kwamba siwezi kuitumia..ilishanishinda miaka mingi nyuma,sijui naionaje yaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikua anawarusha roho wenzie tyuuh.Niliona tu kanisani mara ahangaike na mauanikasema kweli harusi imepata mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Copy ya luluKabinti kazuri kama huyu kunywa kinywaji hiki sio hakii!View attachment 1708308
Unatag vitu vizuri kwa mtu asie sahihi,wewe ni mbaya sana!



Unatag vitu vizuri kwa mtu asie sahihi,wewe ni mbaya sana!View attachment 1708313View attachment 1708315






nitakuongeza kwenye list usijali😄😄😄nitakuongeza kwenye list usijali
Mambo ya kukomoana!😋😄😄😄Wazee wa misambwanda![]()
Mkuu usidharau vitu vyetu vya asili.Kabinti kazuri kama huyu kunywa kinywaji hiki sio hakii!View attachment 1708308
Kwa hiyo nimekosa connection?
Una bahati ya kufahamiana na watu makini sana ambao hawawezi kuvujisha picha zako hata iweje sie wengine tulishakosea njia saa hii picha zetu zishasambazwa huko


Manake bila connection hupati kitu mjini hapaNini tena shemejiMle mle
Mimi ni jf na WhatsApp tuDuuuuh poleeeh bas, ila mie now time JF ndo 1St choice, then IG, watsapp ilishanishinda wallah.