Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole Sana
Huo mkasa wa picha ya huyo dada mpole kusambaa niliusikia..

Hata mm imeniumiza maana Karma alianza nihisi mimi kuwa nimeitoa kumbe Wala hata na yawezekana niliona status ila sikugundua Kama ni huyo,hata km niligundua basi niliishia kuangalia tu.

Sasa baadaye ndio anakuja niambia masikini mtoto wa watu nashangaa tu


Kumbe na yako inatafutwa?

Kweli yaani ilibaki kidogo nikutupie lawama wewe sababu nilihisi na wewe uliziona zile status ukamgundua kuwa ni yeye ukaziiba
 
Back
Top Bottom