Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Sasa una nangana nae unamjuayeye anakujua




Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah
Sasa una nangana nae unamjuayeye anakujua




taja hiyo helufi ya kwanza mkuu
Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah
Tayari madame fasta sana
Ila usikute labda kuna mtu alikuwa anatumia simu yake..najaribu kuwaza ila sijatoka jibu ujue




Babe unashangaa ya kwake na alizokuwa nazo anasambaza mla cha wenzie na chake huliwa pia
Huo uchebe ufuge fuge ukue eenh sawa mkuu

Sio jf tu hata mtaani wanatisha balaa.Umeona enh
Na wanaume wa JF ni wanafiki na wambea wanawake tunasubiri
Nikupe ya kukusifia sana au kidogo?Teh Teh
Sawa Rapcha hebu tupe mistari aisee

Yaaani unakuwa mpole ghafla huna cha kufanya
Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah
Huo uchebe ufuge fuge ukue eenh sawa mkuu![]()

ngoja niendelee kuupalilia ukue vizuriMmhh kitu gani hikoHebu umuulize kwanza pengine labda kutakuwa kunakitu..ninatafakari sipati jibu haki tena
Hapo sasaNa hakuna wanafki kama wanaume wa jf unaona wanakupenda kukukula wanakukula na siri wanatoa
Yaani mimi nimeshasema ikijirudia hii naweka thread nataja jina na picha yake juu
Nikipewa ban nitapumzika jf nikichoka nitamuomba msamaha melo WhatsApp nitamlilia machozi yote




Ewaaaahngoja niendelee kuupalilia ukue vizuri
nzeze mghoshiHivi ni kini che wafanye wandee wakishambaa watana kwei, ambu ni rangi yenyu ye mng'alo. Moyo wangu uita kasi kwei shunie...nkunda siku ing'we nkunkhe zawadi spesho.

Mtoe joanah hapo mkuu hanaga hizo mambobila shaks ni joanah
Ila Melo nae anapenda umbea bwana asinipe ban bwana yaani nitampigia magoti yote mawili
Melo anatakiwa awe muelewa tu kwa kweli ban ya nini sasa
Ntana mghoshinzeze mghoshi![]()
Baadhi dota, repeat that...baadhi!![]()



