Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Ba mkwe lazima unamjuaKama namjua [emoji16]
Ba mkwe lazima unamjuaKama namjua [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume kusutwa jau sana.
Haki vile ni mimi my wiiiiHaki itabidi nimjue ili kujipa taadhari
Halilishindi la dar bwanaNyerere square[emoji7]
Dodoma is beautiful Ila jua lake tu[emoji119]View attachment 1656907
Yaani jua linachoma Kama Moto[emoji23]Halilishindi la dar bwana
Gari Haina Ac?Yaani jua linachoma Kama Moto[emoji23]
Venye namuona anachungulia comments huku akitweta😂😂😂Umenishinda kibonge mwenzangu hii kitu inauma sana
Inayo ila jua linapiga kwenye kioo
Kuna watu wazuri tu humu.Pole ila mamiii mnapata wapi ujasiri wa kuwa na marafiki jf kiasi mnafikia kupeana namba za simu hasa wa kike
Tunaungua huku tunatembea bora wewe unazurula na magari huku sisi watembea kwa miguu kazi tunayo mamaYaani jua linachoma Kama Moto[emoji23]
Mwee[emoji23][emoji23]napitwa hapahapaBasta anakutia upepo mama mchungaji
Achungulie tu sio vizuri unawafanyia wenzio hivi ili iweje hao wanaume wanakulipa au ndio ili upendweVenye namuona anachungulia comments huku akitweta[emoji23][emoji23][emoji23]
OK dear pole kwa waliosalitiwa na Hugo bibie asijejua utuKuna watu wazuri tu humu.
Mfano mimi nina namba ya karma na nimeonana naye na Hana tatizo lolote.
Kuna watu nina namba zao na wanafahamiana na watu wengine na hawana tatizo wala miaka na miaka.
Gari la lift??[emoji1787][emoji1787]Tunaungua huku tunatembea bora wewe unazurula na magari huku sisi watembea kwa miguu kazi tunayo mama
Sijui hata ni nani rafiki yangu[emoji23][emoji23][emoji23]OK dear pole kwa waliosalitiwa na Hugo bibie asijejua utu
😀😀 Vyote best...huenda analipwa..na vilevile kupendwa na wanaume si waona venye anapenda jichekesha chekesha...🤣🤣🤣🤣 Nacheka Kama mazuri vileAchungulie tu sio vizuri unawafanyia wenzio hivi ili iweje hao wanaume wanakulipa au ndio ili upendwe
Dear ndio la kwenu hilo [emoji1787][emoji1787] si mnakaa woteGari la lift??[emoji1787][emoji1787]
Sema huyu dada ana roho nzuri mno..yaani amekuwa zaidi ya ndugu,ni rafiki ya dada yangu tu ila nakaa kwake utadhani nipo kwetu.
Silipwiii mamiii ni kiherehere tu changu mimiAchungulie tu sio vizuri unawafanyia wenzio hivi ili iweje hao wanaume wanakulipa au ndio ili upendwe