Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Ba mkwe lazima unamjuaKama namjua![]()
Ba mkwe lazima unamjuaKama namjua![]()
Haki vile ni mimi my wiiiiHaki itabidi nimjue ili kujipa taadhari

Halilishindi la dar bwana
Yaani jua linachoma Kama MotoHalilishindi la dar bwana

Venye namuona anachungulia comments huku akitweta😂😂😂Umenishinda kibonge mwenzangu hii kitu inauma sana
Inayo ila jua linapiga kwenye kioo
Kuna watu wazuri tu humu.Pole ila mamiii mnapata wapi ujasiri wa kuwa na marafiki jf kiasi mnafikia kupeana namba za simu hasa wa kike
Tunaungua huku tunatembea bora wewe unazurula na magari huku sisi watembea kwa miguu kazi tunayo mamaYaani jua linachoma Kama Moto![]()
Achungulie tu sio vizuri unawafanyia wenzio hivi ili iweje hao wanaume wanakulipa au ndio ili upendweVenye namuona anachungulia comments huku akitweta![]()
OK dear pole kwa waliosalitiwa na Hugo bibie asijejua utuKuna watu wazuri tu humu.
Mfano mimi nina namba ya karma na nimeonana naye na Hana tatizo lolote.
Kuna watu nina namba zao na wanafahamiana na watu wengine na hawana tatizo wala miaka na miaka.
Gari la lift??Tunaungua huku tunatembea bora wewe unazurula na magari huku sisi watembea kwa miguu kazi tunayo mama


Sijui hata ni nani rafiki yanguOK dear pole kwa waliosalitiwa na Hugo bibie asijejua utu



😀😀 Vyote best...huenda analipwa..na vilevile kupendwa na wanaume si waona venye anapenda jichekesha chekesha...🤣🤣🤣🤣 Nacheka Kama mazuri vileAchungulie tu sio vizuri unawafanyia wenzio hivi ili iweje hao wanaume wanakulipa au ndio ili upendwe
Dear ndio la kwenu hiloGari la lift??
Sema huyu dada ana roho nzuri mno..yaani amekuwa zaidi ya ndugu,ni rafiki ya dada yangu tu ila nakaa kwake utadhani nipo kwetu.

si mnakaa woteSilipwiii mamiii ni kiherehere tu changu mimiAchungulie tu sio vizuri unawafanyia wenzio hivi ili iweje hao wanaume wanakulipa au ndio ili upendwe