kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,653
Nikutumie WhatsApp?[emoji16][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Mmhh
Nikutumie WhatsApp?[emoji16][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Mmhh
Kwa kupiga mizinga sasa😅😅😅Hakuna yeye ndio anaonyesha
Kabisa yani😅😅[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwamba hukumtegemea eenh
***** asambaze tu akimaliza akaoge alaleMmhh kitu gani hiko
Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu
Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawakeKwa kupiga mizinga sasa[emoji28][emoji28][emoji28]
Unatafuta balaa wewe mtubila shaks ni joanah
We ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa😅😅Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawake
Na mizinga tena ngachoka [emoji2297][emoji2297][emoji2297]We ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa[emoji28][emoji28]
Usisahau kwenda nyumba ya mungu kuleta perege ChiefDaaah, nnaona kama moshi ntaisoma whatsapp msimu huu as usual View attachment 1657010
😆😆😆😆Na mizinga tena ngachoka [emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Kuna vitu vinasikitisha mama[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nitamnanga hivyohivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa una nangana nae unamjua [emoji1787][emoji1787] yeye anakujua
Mimi ntapambana hivyohivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah
Hata mm naona[emoji38]Uzi wetu pendwa kabisa naona ukielekea kupigwa pingu dadeq! Hope Mshana Jr atakuja na kingine bora zaidi.
Mwenzie yule nafanya naye mishe nimemnanga juzi [emoji38]Mmhh kitu gani hiko
Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Melo nae anapenda umbea bwana asinipe ban bwana yaani nitampigia magoti yote mawili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ntapambana hivyohivyo [emoji23]
Yaani kama Kuna mtu anafikiria kucheza huo mchezo na Mimi nitamtafuta,labda nisiwe na namba yake.
Kwanza mtu akija weka picha yangu humu nitamuongeza na nyingine ambazo hana.
Hakuna namna ni kupiga magoti tu kwakwenda mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah humu ndani mtanivunja mbavu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]