kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Nikutumie WhatsApp?
Mmhh

Nikutumie WhatsApp?
Mmhh

Kwa kupiga mizinga sasa😅😅😅Hakuna yeye ndio anaonyesha
Kabisa yani😅😅
Kwamba hukumtegemea eenh
***** asambaze tu akimaliza akaoge alaleMmhh kitu gani hiko
Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu
Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawakeKwa kupiga mizinga sasa![]()
Unatafuta balaa wewe mtubila shaks ni joanah
We ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa😅😅Usiniambie na mizinga anapiga kwa wanaume au kwa sisi wanawake
Na mizinga tena ngachokaWe ngoja tuendelee kuifuatilia show kwa ukaribu kabisa![]()



Usisahau kwenda nyumba ya mungu kuleta perege ChiefDaaah, nnaona kama moshi ntaisoma whatsapp msimu huu as usual View attachment 1657010
😆😆😆😆Na mizinga tena ngachoka![]()
Kuna vitu vinasikitisha mama
Nitamnanga hivyohivyoSasa una nangana nae unamjuayeye anakujua




.
wakaka wanaojitambua huwezi kuwakuta na hiyo kasumba.Mimi ntapambana hivyohivyo
Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah

Hata mm naonaUzi wetu pendwa kabisa naona ukielekea kupigwa pingu dadeq! Hope Mshana Jr atakuja na kingine bora zaidi.

Mwenzie yule nafanya naye mishe nimemnanga juziMmhh kitu gani hiko
Nahisi tu ndiyo tabia yake na hasambazi picha tu bali hadi info za watu

..nikasema yaani nikiona zimesambaa moja kwa moja nitajua ni yeye.Ila Melo nae anapenda umbea bwana asinipe ban bwana yaani nitampigia magoti yote mawili






Mimi ntapambana hivyohivyo
Yaani kama Kuna mtu anafikiria kucheza huo mchezo na Mimi nitamtafuta,labda nisiwe na namba yake.
Kwanza mtu akija weka picha yangu humu nitamuongeza na nyingine ambazo hana.





Hakuna namna ni kupiga magoti tu kwakwenda mbele
Dah humu ndani mtanivunja mbavu


