Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bihashara[emoji7]
IMG-20201221-WA0004.jpg
 
Sasa una nangana nae unamjua [emoji1787][emoji1787] yeye anakujua
Nitamnanga hivyohivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Kama aliwahi weka picha hata ya emoj tu na mimi taitumia hiyohiyo[emoji1787].
Halafu wenye hayo matatizo ya kunanga wadada ni ambao hawaeleweki[emoji38]wakaka wanaojitambua huwezi kuwakuta na hiyo kasumba.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona eenh hapo yeye kapewa file lako lote ila wewe hata herufi ya kwanza ya jina lake halisi tu huijui dah
Mimi ntapambana hivyohivyo [emoji23]
Yaani kama Kuna mtu anafikiria kucheza huo mchezo na Mimi nitamtafuta,labda nisiwe na namba yake.

Kwanza mtu akija weka picha yangu humu nitamuongeza na nyingine ambazo hana.
 
Back
Top Bottom