Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Halafu nyie mna bahati mbaya tu,
Mimi watu wenye namba yangu wanajitambua sana..huu utoto nadhani hawana.
Ninawaamini Sana na wamekuwa Kama ndugu zangu .
Anne sio mimi na mimi mpaka nitoe no ujue nimekuamini haya me hayajanikuta

Yamewakuta ndugu zangu sema tu kilichoniuma yeye kutafuta pic yangu kinguvu anijue nafanana vipi
 
Anne sio mimi na mimi mpaka nitoe no ujue nimekuamini haya me hayajanikuta

Yamewakuta ndugu zangu sema tu kilichoniuma yeye kutafuta pic yangu kinguvu anijue nafanana vipi
Pole Sana
Huo mkasa wa picha ya huyo dada mpole kusambaa niliusikia..

Hata mm imeniumiza maana Karma alianza nihisi mimi kuwa nimeitoa kumbe Wala hata na yawezekana niliona status ila sikugundua Kama ni huyo,hata km niligundua basi niliishia kuangalia tu.

Sasa baadaye ndio anakuja niambia masikini mtoto wa watu nashangaa tu


Kumbe na yako inatafutwa?
 
Pole Sana
Huo mkasa wa picha ya huyo dada mpole kusambaa niliusikia..

Hata mm imeniumiza maana Karma alianza nihisi mimi kuwa nimeitoa kumbe Wala hata na yawezekana niliona status ila sikugundua Kama ni huyo,hata km niligundua basi niliishia kuangalia tu.

Sasa baadaye ndio anakuja niambia masikini mtoto wa watu nashangaa tu


Kumbe na yako inatafutwa?
Ndio jf yetu mimi ukimgusa pacha wangu umenigusa mimi yaani ugomvi wake naubeba mimi na analijua hili
 
Aiseh haki amenisikitisha..nilikuwa namuona wakishua kumbe hovyo kabisa
Ohoo kwa zile comments zake mama hauwezi kuamini kama ndiyo mswahili hivyo! Anaonekana mstaarabu ndiyo maana ni rahisi sana mtu kumuamini!

Unajua kuna mtu mwingine kutokana na comments zake tu hauwezi kukubali kuchat naye hata pm yaani hautataka mazoea naye kabisa! Ila yule aise sikutegemea!
 
Ohoo kwa zile comments zake mama hauwezi kuamini kama ndiyo mswahili hivyo! Anaonekana mstaarabu ndiyo maana ni rahisi sana mtu kumuamini!

Unajua kuna mtu mwingine kutokana na comments zake tu hauwezi kukubali kuchat naye hata pm yaani hautataka mazoea naye kabisa! Ila yule aise sikutegemea!
mkuu huyo mtu ni kama tapeli hivyo muwekeni wazi
 
Yes tena anachofanya mfano wewe unapost picha zako nusu huku anazikariri! Halafu tuseme mimi nina picha zako full ambazo nyingine ulipost huku nusu halafu nikakupost Status akiona anaunganisha dots kuwa huyu ni Chakorii maana hii picha aliwahi ipost kule kwenye kuselfika so anaiiba anafanya yake!
Heeeeh ana kazi bas ya kukariri photos za watu uwiiiih
 
Back
Top Bottom