Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Yeah mwenyewe niliwaza kumtafuta ila nikaona nisije nikachochea moto zaidi! Maana mtu mwenyewe yule hajatulia akili zake anazijuaga mwenyewe!Huyo mtafutie engo yake kwanza..
Kama unaweza kumfuata mkazungumza itakuwa njia nzuri na ya kibusara lkni pia unaweza ukamwambia pia akalipuka moto.
Hebu mkaushie tu mblock kuruhusu maisha mengine yaendelee usiwe unaona chochote chake.
Haki haipendezi kabisa..






