Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hawaiombi hivyo..!!
Kwa taarifa yako coca ni pisi ya kwendea hana hata hizo ndevu unazosema. Acha chuki zako..!!

Selfika yako tuone 😹
Huyu kipigo nilichompa hadi kukimbia I'd yake kwa muda hawezi kupona kamwee.
Msamehee, anataka ududu, ataamua wa ngozi au plastic, yeye tuu.
😂😂😂
 
Kwanini zinishinde vin?
Tusije tukaaanza kukupepeea na feni 😄😄😁😄 mimi day one nilipiga nikahisi kama na paa vile baada ya kupelekwa nyumbani kila nikifungua mlango nashindwa nikalala kibarazani baadae ndio akili inarudi ila nilipigwa na hangover moja matata mno
 
Tusije tukaaanza kukupepeea na feni 😄😄😁😄 mimi day one nilipiga nikahisi kama na paa vile baada ya kupelekwa nyumbani kila nikifungua mlango nashindwa nikalala kibarazani baadae ndio akili inarudi ila nilipigwa na hangover moja matata mno
Aanh wapi hiki kichwa kingine, yani mpaka nazichanganya na siwehuki!! Tena umenikumbusha nna kajoint kamoja hapa kwenye pochi yangu, kana siku ngoja weekend nikanamna gani! 😎
 
Leo uzi uliwaka eeh, maana hadi I'd zisiso kuwa na mazoea humu, zilikuwepo.
Nimepitwaaaa???
 
Why always u
Kabisa unaniuliza huo utoto mimi? Kwani huoni wengine wanaanzishiwa pia, si mtu anatafuta attention kupitia mtu mwingine and thats it hakuna cha maana hapo!
Saiz tunawasha vibatali labda kesho mida ya saa 6 ukungu ukitoweka
Hahaha vibatari vilienda na el nino ya miaka ile! Acha kutuchota😃
Tupiamo wewe ulieko daslama tukuone
Mbona nmetuma mara kibao tu ila unanikataa! Unalazimisha niwe pisi uliyonayo kichwani🤣
 
Back
Top Bottom