Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

niite chief basi, maana kuni ita mboka manyema bila heshima yangu una kosea.

Utawala wa ki chief unge endelea kuwepo, huyu Kapachino ninge mgeuza mbeba matunda kunigwa.
Hao vitukuu wa fundikira; nimecheza nao magomeni; hata hili jina la kapachino ndio walinipachika.

Heshima ifuate mkondo wake shemelaaa! Igunga na damu zangu za kutosha.
 
Dogo hutaki kazi basi nenda kaingize nyimbo kwenye library ya Poor Brain Gongo la mboto, Ulongoni A
Wee jamaaa mbona unanijua hvo daaah Et ulongoni A kweli ww ni agent 007 kaka we noma 😂😂😂😂🫵🫵🫵🫵🙌🙌🙌🙌
Mi hapa ofisini kwangu mshahara ni laki tano kwa mwezi kama ataweza its oky mana vijana wa sasa wana mapuuza
 
If that's true , unalingana na baba angu mkubwa.

Ila kwa Sasa ni mzee sana sanaa kazeeka sana yupo kwenye 90's
Kuna watu wamebahatika kuwa na udongo mzuri akiwemo huyo Baba yako Mkubwa

Mungu amjalie maisha marefu, kama hatokuwa na maradhi ya mara kwa mara anaweza kugonga miaka 100+ 🙏🙏🙏
 
😃Hii mbona tunatumia adi leo kwa bibi kule
Hongereni Mkuu, ila mkiweza mvutieni Umeme wa REA shilingi 27,000 tu

Mkiona gharama, mfungieni Umeme Jua (Solar panels system) Kwa shilingi 570,000 baada ya hapo, hatowadai token za Luku tena

Hiyo taa nilitumia kujisomea kuanzia standard one hadi nikamaliza Kidato cha Nne, umeme nikaenda kuukuta nilipoenda highschool na Chuo Kikuu 🙌

Kweli tumetoka mbali 🙏🙏🙏
 
Kuna watu wamebahatika kuwa na udongo mzuri akiwemo huyo Baba yako Mkubwa

Mungu amjalie maisha marefu, kama hatokuwa na maradhi ya mara kwa mara anaweza kugonga miaka 100+ 🙏🙏🙏
Tezi dume inasumbua currently... Au itakua sababu ya kutembeza rungu la comrade kipepe 😊😁

Ana bahati sana yule mzee alisomaga Russia ni mjamaa kweriiiii kweriiiii
 
Dah vitu vyetu hivi, madogo kama kina binti kiziwi, Selikavu, Razorblade, Edo kissy, dosho12 una wapoteza kabisaa.

tena huyu Kapachino ana weza dhani taa ya aladini hiyo 😂😅
Vijana wengi waliozaliwa baada ya Umeme/watoto wa kishua wengi hawajui hiyo taa

Kutokana na kutumia sana mafuta ya taa, ilifanya nyumba nyingi wawe wanawahi kula chakula cha usiku na Kulala mapema

Ikapatikana advantage ya Wazee kupata watoto wengi, kwakuwa tangu saa mbili usiku watu wamelala, hadi kufika saa 6 usiku Baba ameshaweka mipira mitatu kwenye goli 😜

Sio miaka hii, Baba na Mama wanaangalia mpira ama Maigizo hadi saa 6 usiku

Ukifika kitandani, kimoja cha kujikongoja ama kisiwepo kabisa 😜🏃🏃
 
Tezi dume inasumbua currently... Au itakua sababu ya kutembeza rungu la comrade kipepe 😊😁

Ana bahati sana yule mzee alisomaga Russia ni mjamaa kweriiiii kweriiiii
Hivi tezi dume huwa inatokana na kutembeza sana rungu la comrade kipepe 🙌

Kama hivyo ndivyo, basi tuandae kabisa hela za kwenda India kutibiwa

Wanaume wengi tutakuwa na hilo tatizo kasoro Mimi Babu yenu tu 😜
 
Mzee Grahams mwaka 98 nini kilitokea paka mtihani WA form four sijui form six ukafutwa??

Yaan kulikuwa hamna simu how comes Tanzania mzima was affected
Mitihani kuvuja ilianzia Mjini kisha Tanzania nzima

Kinachofanyika, ni Walimu wasio waaminifu walikuwa wanapata possible kisha kuanza kusambaziana Kwa lengo la kuuza

Hata Mwaka 2008 Mitihani ya Kidato cha Nne ilivuja pia kupelekea mtihani wa somo la Hesabu kutungwa upya baada ya kuhairishwa


Na hizi Shule za Private, ndiyo hodari sana kuvujisha ili kuvutia Wanafunzi zaidi iwapo watapata ufauru mzuri
 
Hapo ndio nilianziaga kujifunza hahaha! Enzi izo nilipigwa pocket money yote
Ulianzia kujifunza yale mambo yetu au?😅🙌

Wale watu Wana hatari, hawaoni shida kukuibia Kila kitu na kukuacha na boksa tu 😜
 
Hongereni Mkuu, ila mkiweza mvutieni Umeme wa REA shilingi 27,000 tu

Mkiona gharama, mfungieni Umeme Jua (Solar panels system) Kwa shilingi 570,000 baada ya hapo, hatowadai token za Luku tena

Hiyo taa nilitumia kujisomea kuanzia standard one hadi nikamaliza Kidato cha Nne, umeme nikaenda kuukuta nilipoenda highschool na Chuo Kikuu 🙌

Kweli tumetoka mbali 🙏🙏🙏
Tutafanya hivyo mkuu ngoja tujipate
 
Back
Top Bottom