win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,695
- 7,925
nimekuona honey unazid kuwa mhandsome kila kunapokuchaš„°babe .. nimepita babe..
nimekuona honey unazid kuwa mhandsome kila kunapokuchaš„°babe .. nimepita babe..
kitukuu kinakuja soon tu 100 others nadhani umemskia babuHalafu sijawafatilia mjukuu wangu, nimeona umecoment 1st born, nikacheka maana nakujua mjukuu wangu, bado hujaniletea kitukuu š
Hiyo ya babe nikaiona chini yake
oukyy sleep wellā£
sio mbaya, night shift ni mode nzuri pia.Nasikiliza haka huku, nachapa kazi.. hadi morning š.. ndio kurudi home
View attachment 3465233
Achague moja kama ni 1st born ni 1st born, kama babe awe babe, sio kuwa mara babe mara mama, mtatuletea laana JFkitukuu kinakuja soon tu 100 others nadhani umemskia babu
bila wewe honey mie si kitu, ni wewe unanifanya ning'are..nimekuona honey unazid kuwa mhandsome kila kunapokuchaš„°
š¤£š¤£š¤£š¤£babu ebu niache,,, tatizo umri umekutupa sa hauwezi kuelewa lugha za vijanaAchague moja kama ni 1st born ni 1st born, kama babe awe babe, sio kuwa mara babe mara mama, mtatuletea laana JF
yes, kulala alfajiri rahasio mbaya, night shift ni mode nzuri pia.
Kabisa mjukuu š¤£šš¤£š¤£š¤£š¤£babu ebu niache,,, tatizo umri umekutupa sa hauwezi kuelewa lugha za vijana
oohps love nimefarijika,, basi naomba tulale tutabonga kesho najua umechoka na kazibila wewe honey mie si kitu, ni wewe unanifanya ning'are..
haya tulia babu, fanya kama unasoma gazeti kwenye kile kiti chako na miwani yakoKabisa mjukuu š¤£š
hahaha ume nikumbusha mstari wa tuna enda kazini, mida wanayo enda kitandani.yes, kulala alfajiri raha
to me this quite easy, cause I don't like spending on shits that mean nothing to me.My worst nightmare is this battle š
View attachment 3465236
Sasa hivi umejipata eeh! Hata ukipoteza mda fresh au sio ?hahaha ume nikumbusha mstari wa tuna enda kazini, mida wanayo enda kitandani.
2023 hiyo niko na hasira za kupoteza muda, aisee nili kuwa active ka jini full ku focus.
Sija wahi kujipata mkuu, maana ninako elekea nako kasheshe tu.Sasa hivi umejipata eeh! Hata ukipoteza mda fresh au sio ?
Wengine ndio hasira zinazidi kupandaa baada ya kupoteza miaka ya kuwa na hasara, hakuna kulala
Nilipita kitambo sana šKasome uzi wa Don Bill kwanza šš