cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,664
- 78,139
Ume ona ulivyo kinda, yaani kizembe una ibiwa ka zuzu.Nakwambiaga nikija uwe unakua nyuma yangu unanisaidia nisipigwee mjini.
Nimepigwa mitaa ya karume mitaa ya TBL kwa mbele; yule fala sijui anatumia vidawa.
Nimejikuta natoa buku mbili za glass ya juice pasipo hata kutarajia, juice yenyewe ni mi maji.
Jamaa kanishobokea kaniita utafikiri ananijua; kaka mkubwa vipi, daah kitambo mi nikabaki navuta taswira mbona simjui huyu. Kuja kushtuka nishakunywa juice glass mbili.
Ulikimbia na haulei umepoteza sifa!!Chino punguza wenge kijana, najua una ogopa kuniita shemeji!
China tanga nime acha alama huko, barabara ya 13 wana nijua.
Chino sijawahi kukimbia kilicho changu, mi sio kunguru.Ulikimbia na haulei umepoteza sifa!!
Sisi tunalea na tukifika tunatamba Kila kona!
Next month ntakua bukene;
Sijawahi kupachoka.
Jamaa kaniudhia maneno kibao!Ume ona ulivyo kinda, yaani kizembe una ibiwa ka zuzu.
Siku nyingine amkia wakubwa wewe, maana una weza kuibiwa kabisa.
Halafu ulivyo boya una gida juice ya mtu usiye mjua, utakuja kujikuta ndani ya ghetto la wahuni 😂😅Jamaa kaniudhia maneno kibao!
Mwisho wa siku akanikaribisha karibu juice kaka hapo kaishaimimina tiyari nikajua kanipa kama mgeni Yani karibu.
Nilivoigida akaniongeza nyingine nilivomaliza akaniambia buku mbili tu hapo kaka
Dah nikachoka kabisa! Cc Lamomy
No jamaa Yuko Barabarani kabisa hapo na meza yake; nadhani ndo staili anayotumia!!Halafu ulivyo boya una gida juice ya mtu usiye mjua, utakuja kujikuta ndani ya ghetto la wahuni 😂😅
Kwanza kubali we ni kinda, je tunge kupeleka manzese au vingunguti kwa Vishu Mtata wana kupasua hilo bichwa lako chap 😂😅No jamaa Yuko Barabarani kabisa hapo na meza yake; nadhani ndo staili anayotumia!!
Wahuni kama nyie nataka siku mmoja mjichanganye Ili tukifika huko ndani tujue nani ni nani!
😂😂😂😂haha dah coca acha kunipeperushia njiwa wangu.
😂😂😂😂😂😂Yani hapo pembeni nimeona mpk heels 👠 halafu anasema yuko single 😹😹😹
Sema nna mikosi dada yako kupendwa na masingle dady jamani khaaaa..!! 😹
Halafu wako huru hawaniogopi wanasema wao single dady, hivi nna nyota ya kulea watoto wa kambo? Au kwa vile napenda vitoto wananichukulia yaya wao 😹😹😹
Kwema hiyo kwiooo? 😂😂😂😂😂We mbona umeikomalia pic hivyo kwema? 😹😹
😂😂😂😂😹😹😹 Anajifanya na yeye km watu wa mask
😂😂😂Nakwambiaga nikija uwe unakua nyuma yangu unanisaidia nisipigwee mjini.
Nimepigwa mitaa ya karume mitaa ya TBL kwa mbele; yule fala sijui anatumia vidawa.
Nimejikuta natoa buku mbili za glass ya juice pasipo hata kutarajia, juice yenyewe ni mi maji.
Jamaa kanishobokea kaniita utafikiri ananijua; kaka mkubwa vipi, daah kitambo mi nikabaki navuta taswira mbona simjui huyu. Kuja kushtuka nishakunywa juice glass mbili.
😂😂😂 huyo maeneo yetu hakai, ujue mpaka mtu anakutapeli kwa style hiyo jua keshaona unatembea kikolokolo.Kwanza kubali we ni kinda, je tunge kupeleka manzese au vingunguti kwa Vishu Mtata wana kupasua hilo bichwa lako chap 😂😅
Kwanza Kapachino ata ambiwa tusomane, kwa ukolo wake ata hisi ni kuhusu shule 😂😅😂😂😂 huyo maeneo yetu hakai, ujue mpaka mtu anakutapeli kwa style hiyo jua keshaona unatembea kikolokolo.
Kuna style za kutembea ukiwa mitaa yetu, ukikosea code unalizwa.
Meji una penda vurugu 😂😅Uzi umekimbia sana, kwani kulikua na lipi? Isijekua nimepitwaaa!
Woiiiiiih ngachoka nenee, 😂😂😂😂😂
Mansese na vingunguti ilikua miaka ya tisini na huko kurudi nyuma kipindi icho mdogo angu unadungua maembe mboka.Kwanza kubali we ni kinda, je tunge kupeleka manzese au vingunguti kwa Vishu Mtata wana kupasua hilo bichwa lako chap 😂😅
we kwangu bado kinda, usibishe hilo.Mansese na vingunguti ilikua miaka ya tisini na huko kurudi nyuma kipindi icho mdogo angu unadungua maembe mboka.