Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakwambiaga nikija uwe unakua nyuma yangu unanisaidia nisipigwee mjini.

Nimepigwa mitaa ya karume mitaa ya TBL kwa mbele; yule fala sijui anatumia vidawa.

Nimejikuta natoa buku mbili za glass ya juice pasipo hata kutarajia, juice yenyewe ni mi maji.

Jamaa kanishobokea kaniita utafikiri ananijua; kaka mkubwa vipi, daah kitambo mi nikabaki navuta taswira mbona simjui huyu. Kuja kushtuka nishakunywa juice glass mbili.
Ume ona ulivyo kinda, yaani kizembe una ibiwa ka zuzu.

Siku nyingine amkia wakubwa wewe, maana una weza kuibiwa kabisa.
 
Ume ona ulivyo kinda, yaani kizembe una ibiwa ka zuzu.

Siku nyingine amkia wakubwa wewe, maana una weza kuibiwa kabisa.
Jamaa kaniudhia maneno kibao!
Mwisho wa siku akanikaribisha karibu juice kaka hapo kaishaimimina tiyari nikajua kanipa kama mgeni Yani karibu.

Nilivoigida akaniongeza nyingine nilivomaliza akaniambia buku mbili tu hapo kaka

Dah nikachoka kabisa! Cc Lamomy
 
Jamaa kaniudhia maneno kibao!
Mwisho wa siku akanikaribisha karibu juice kaka hapo kaishaimimina tiyari nikajua kanipa kama mgeni Yani karibu.

Nilivoigida akaniongeza nyingine nilivomaliza akaniambia buku mbili tu hapo kaka

Dah nikachoka kabisa! Cc Lamomy
Halafu ulivyo boya una gida juice ya mtu usiye mjua, utakuja kujikuta ndani ya ghetto la wahuni 😂😅
 
Yani hapo pembeni nimeona mpk heels 👠 halafu anasema yuko single 😹😹😹

Sema nna mikosi dada yako kupendwa na masingle dady jamani khaaaa..!! 😹

Halafu wako huru hawaniogopi wanasema wao single dady, hivi nna nyota ya kulea watoto wa kambo? Au kwa vile napenda vitoto wananichukulia yaya wao 😹😹😹
😂😂😂😂😂😂
Uduguu mie sitaki, nacheka km mwehu hapa. Lol
 
Nakwambiaga nikija uwe unakua nyuma yangu unanisaidia nisipigwee mjini.

Nimepigwa mitaa ya karume mitaa ya TBL kwa mbele; yule fala sijui anatumia vidawa.

Nimejikuta natoa buku mbili za glass ya juice pasipo hata kutarajia, juice yenyewe ni mi maji.

Jamaa kanishobokea kaniita utafikiri ananijua; kaka mkubwa vipi, daah kitambo mi nikabaki navuta taswira mbona simjui huyu. Kuja kushtuka nishakunywa juice glass mbili.
😂😂😂
 
d65e70293c75d878c520d2faef5c449d~2.jpg
 
Back
Top Bottom