Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kila la kheri guys,,,, hakuna jukwaa lingine la kukutania ? Jf ndo hivo imefungiwa !!!!!

Siku 90 sio haba,,,, huenda zikaisha na zikaongezwa,,,, ni kama chadema na zile siku 14 walizopewa !

What a pleasure
 
Screenshot_20250906-155418.png
 
Wee jamaaa mbona unanijua hvo daaah Et ulongoni A kweli ww ni agent 007 kaka we noma 😂😂😂😂🫵🫵🫵🫵🙌🙌🙌🙌
Mi hapa ofisini kwangu mshahara ni laki tano kwa mwezi kama ataweza its oky mana vijana wa sasa wana mapuuza
Kijana unalipa mshahara wa PHD
 
Na bado hujasema 😹😹
Nakwambiaga nikija uwe unakua nyuma yangu unanisaidia nisipigwee mjini.

Nimepigwa mitaa ya karume mitaa ya TBL kwa mbele; yule fala sijui anatumia vidawa.

Nimejikuta natoa buku mbili za glass ya juice pasipo hata kutarajia, juice yenyewe ni mi maji.

Jamaa kanishobokea kaniita utafikiri ananijua; kaka mkubwa vipi, daah kitambo mi nikabaki navuta taswira mbona simjui huyu. Kuja kushtuka nishakunywa juice glass mbili.
 
Back
Top Bottom