min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,332
- 127,397
Sijapenda hata, maua hata hapa kwangu yapoKama jina langu lilivyosimama🥰View attachment 3465648
Sijapenda hata, maua hata hapa kwangu yapoKama jina langu lilivyosimama🥰View attachment 3465648
Asante sanaaaaaa ndugu 😊Sawa, lakini itabidi umpe wifi…
🥃🥃🥃 Cheers 🥂Nimeshatandika shots za kutosha za camino tequila kule counter hapa nawachora wanywa soda..
Kaka tule sisi tule pombe tu bwashee🥃🥃🥃 Cheers 🥂
😁,ndiyo maana nikaitwa hivyo.Sijapenda hata, maua hata hapa kwangu yapo
Nyasa.Tanga?
Anhaa hao dagaa watamu kinoma, Au mimi tu ndo napenda.Nyasa.
Lamomy chino ni mnywa soda kweli ama anatuchora tu?Wanywa soda tunapataga wakati mguu sana tukiendaga bar!!
Tukinywa maji shida pia.
Watamu sana,now wapo tele,Anhaa hao dagaa watamu kinoma, Au mimi tu ndo napenda.
Nilienda Mbababay 2023
Haaahaa 😂 😁 nijambo la muda TU sisi wenyewe tulikuaga wanywa soda🥤Kuna mda unafika; unashindwa uchukue nini; Mimi najichukuliaga ki grand Malta changu na maji yangu over.
Tunapitia magumu sana Kuna mda unakuta ma taita uchwara wanasema Mimi na lipia bia tu soda jilipie mwenyewe haha nasemaga tumewakosea nini.
Sure😅😁,ndiyo maana nikaitwa hivyo.
Karibu kaka 😊 😃 tutapiga pombe sawa sawaKaka siku nikibahatika kuja dar na mafuso ya msiba nitakutafuta tulewe bwashee
Safiiiii SANAAAAAA 🤓Kazii iendeleee huku tukiburudika...
Kwema mdau...😆😆
Muda si mrefuu mwenzako ntaanza kunywa 😊 😃Kaka tule sisi tule pombe tu bwashee
Safi sana bwashee, watu makini kama nyie ni muhimu sana kwenye hii sayari 🤣Karibu kaka 😊 😃 tutapiga pombe sawa sawa
😊😊😊
🤣🤣🤣🤣,Umeona eehSure😅
Bila kumsahau mdogo wetu Monetary doctor ,Safi sana bwashee, watu makini kama nyie ni muhimu sana kwenye hii sayari 🤣
Safi bwashee pombe , na chakula bila stress za kijinga jinga , mimi now nakula bata tu hapa naona kama napaa🤣🤣Muda si mrefuu mwenzako ntaanza kunywa 😊 😃