Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

sina tako la kufanya kijora kibinuke๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Lipo bana wifi utakimodoa kwenye ngongingo ili kibinuke ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weka picha ili nikupe muongozo pa kurekebisha
 
Lipo bana wifi utakimodoa kwenye ngongingo ili kibinuke ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weka picha ili nikupe muongozo pa kurekebisha
tumia picha ya jana,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
nakwambia kumbe huku ni wengi ila wameuchuna tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚vile tu id fake uskute tushawah onana
Wakifika mjini wanakataa makabila yao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nawaza namna ya kukuelewesha bila kuonekana najitetea....ila mm sio wa huko
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hata usitumie nguvu kubwa.
Wala sio vibaya kuzaliwa huko, hakuna anayejichagulia kabila la kuzaliwa.
Mimi mbona kabila langu tunapondwa wachawi na tunatoa makafara ila hunikuti najikataa?!! Tena ndo niko so proudly nalo
 
Back
Top Bottom