Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,568
- 95,194
Wifi mara hii?? Huyo mtoto sio wetu 😂😂😂nna mimba tumbo kubwa😂😂
Wifi mara hii?? Huyo mtoto sio wetu 😂😂😂nna mimba tumbo kubwa😂😂
😂😂😂😂 Una uthibitisho??Hivi toka uzaliwe hujawahi kuzagamua? hujawahi kuwa na manzi? sasa si ukakatwe tu hilo naniliu, huna kazi yeyote unafanyia...?
😂😂😂😂wasamehewe buuureeee 😂😂
Mi nakukubali wewe..😂😂😂😂 Una uthibitisho??
Ila ww kweli unamkubali coca
shauri yako,,na kwel sio wenu,,ila wew shida ako ni unione sura sio 😂😂😂vip nkupe original au editing uridhike weweWifi mara hii?? Huyo mtoto sio wetu 😂😂😂
Toka lini? 😂Mi nakukubali wewe..
Zote weka wifi 😜shauri yako,,na kwel sio wenu,,ila wew shida ako ni unione sura sio 😂😂😂vip nkupe original au editing uridhike wewe
kutaka kunichoresha tu situmi ng'ooo 😂😂😂😂Zote weka wifi 😜
Acha dharau, Huyo ni mwanaume, nashangaa sana nini kilimkuta..Toka lini? 😂
Ww mmependezana na coca na hizi punch zenu mi nasikia burudani
Tuma nakuona peke yangu, ss hivi hawapo wifi 😂😂kutaka kunichoresha tu situmi ng'ooo 😂😂😂😂
Lete uthibitisho km yy mwanaume?Acha dharau, Huyo ni mwanaume, nashangaa sana nini kilimkuta..
Sasa nshakuambia nakukubali wewe... achana na coca, mi nakupenda wewe kwa hio unasemaje..
Achana na huyo shoga..Lete uthibitisho km yy mwanaume?
Unampendaje mtu usiyemjua?? Una uhakika gani km mimi ni yule unayemfikiria? Km mjomba yako 😂😂😂😂
Hapana mimi nishaolewa mkuuAchana na huyo shoga..
Mi nipo na wewe, nshakuambia nakuelewa, masuala ya kukufahamu na kutokukufahamu ni mbele kwa mbele, kwa hio unasemaje mrembo?
Hapo kwenye michezo ya vijana ndio penyewe😍Hilo ndio muhimu, abaki home muda wake umepita bana 🥰🥰🥰
Kuna michezo ya vijana, nikikuonyesha mbele yake ataanza mdomo 😂😂😂😂
Sawa mkuu.Hapana mimi nishaolewa mkuu
Umeamua kunibania au sio?Hapana mimi nishaolewa mkuu
unataka unitambulishe kwa mwingine sio😂😂😂nini unanikomalia iviTuma nakuona peke yangu, ss hivi hawapo wifi 😂😂
😂😂😂😂 humu tuuhHapo kwenye michezo ya vijana ndio penyewe😍
Nikubanie ni pesa hizi?? Hafu ww nishakujuaUmeamua kunibania au sio?
Umenijuaje?Nikubanie ni pesa hizi?? Hafu ww nishakujua