Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ngโ€™o
Yaani mimi mbona sasa nimekoma kusaidia watu ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ sasa kajiharibia, kila uzi wake wanamfutia. Aende tu kwa mbunge wake au akaombe kwwnye media tena.
 
Halafu hujanimalizia story nawe dada ile ya kunangwa picha zetu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Bora tujadili haya kuliko waomba misaada ni matapeli tu.
Nitakuchapa sasa hivi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ si huwa tunanagwa wote humu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ sikuwa najua. But toka nimejua nikaacha kuweka pic, japo najua watu wanasave.
 
Yaani mimi mbona sasa nimekoma kusaidia watu ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ sasa kajiharibia, kila uzi wake wanamfutia. Aende tu kwa mbunge wake au akaombe kwwnye media tena.
Na waufute sema visirani niliowatag walikuwa bado hawajaingia sijui ingekuwaje leo?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ningeambiwa na mimi tapeli nawaita wakatapeliwe, ningesuuzwa bila sabuni ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Na waufute sema visirani niliowatag walikuwa bado hawajaingia sijui ingekuwaje leo?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ningeambiwa na mimi tapeli nawaita wakatapeliwe, ningesuuzwa bila sabuni ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Siku zote huruma huwa inaponza, sema mtu ukiwa na huruma hukomi,hujifunzi. Kuna uzi wa kutaja waganga wa kienyeji ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ hujawahi kwenda kuroga upate mume? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nitakuchapa sasa hivi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ si huwa tunanagwa wote humu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ sikuwa najua. But toka nimejua nikaacha kuweka pic, japo najua watu wanasave.
Bora na wewe unangwe uone true colors za watu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huko pm kuna mi story mingi ya kutungiwa, acha tyuuu.!! Hafu mpishi ni mmoja anasambaza hizo mbanga.
 
Siku zote huruma huwa inaponza, sema mtu ukiwa na huruma hukomi,hujifunzi. Kuna uzi wa kutaja waganga wa kienyeji ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ hujawahi kwenda kuroga upate mume? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Uko wapi huo uzi?? Tatizo hao waoaji ndio wajua vilinge vya waganga, utamrogaje kwa mfano?? Badala ya kumroga yy akupende, unaanza kumpenda wewe ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Bora na wewe unangwe uone true colors za watu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huko pm kuna mi story mingi ya kutungiwa, acha tyuuu.!! Hafu mpishi ni mmoja anasambaza hizo mbanga.
Mpishi mkuu hatari sana. Jamani jamani hii dunia acha tu.
 
Mpishi mkuu hatari sana. Jamani jamani hii dunia acha tu.
Nilijua tyuu atakufikia ni suala la muda ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mpishi ana viungo vyote kuanzia vya chai mpk mlo wa usiku. Ushindwe wewe tyuu!! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nilijua tyuu atakufikia ni suala la muda ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mpishi ana viungo vyote kuanzia vya chai mpk mlo wa usiku. Ushindwe wewe tyuu!! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Umechelewa kujua ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hata usitumie nguvu kubwa.
Wala sio vibaya kuzaliwa huko, hakuna anayejichagulia kabila la kuzaliwa.
Mimi mbona kabila langu tunapondwa wachawi na tunatoa makafara ila hunikuti najikataa?!! Tena ndo niko so proudly nalo
Mm wa kaskazini bn sema npo na watu wa huko mastory kibao ndo waliniandikia hicho kikwenu
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
acheni kumnanga kaboy wangu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ nmemwambia asipontumia laki leo nambwaga shenz type ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hata usitumie nguvu kubwa.
Wala sio vibaya kuzaliwa huko, hakuna anayejichagulia kabila la kuzaliwa.
Mimi mbona kabila langu tunapondwa wachawi na tunatoa makafara ila hunikuti najikataa?!! Tena ndo niko so proudly nalo
we mpangwa nini๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
IMG_4607.jpeg
 
Back
Top Bottom