Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

acheni kumnanga kaboy wangu 🤣🤣🤣🤣 nmemwambia asipontumia laki leo nambwaga shenz type 😂😂😂
😆😆😆😆 hako kaboy kako sijui kama akili zake ziko sawa. Mtoto wa kiume aone aibu, hata watu hawamuoni, hawamjui. Anashindwa kusema niyeye. Kishapoteza uaminifu. Au umemtuma hiyo laki, mrembo wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
 
😆😆😆😆 hako kaboy kako sijui kama akili zake ziko sawa. Mtoto wa kiume aone aibu, hata watu hawamuoni, hawamjui. Anashindwa kusema niyeye. Kishapoteza uaminifu. Au umemtuma hiyo laki, mrembo wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
afanyaje sasa na kanitaka niende na hana nauli 😂😂🤣 nauli ni 10k ila nmemwambia atume 100k ,coz gari za huku ni mbovu anything can happen 😂😂
 
afanyaje sasa na kanitaka niende na hana nauli 😂😂🤣 nauli ni 10k ila nmemwambia atume 100k ,coz gari za huku ni mbovu anything can happen 😂😂
Muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio jamani. Huko alipo hamini macho yake, kila anachoandika kinafutwa. Na ndege wewe unapeperuka 😅😅😅😅
 
Muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio jamani. Huko alipo hamini macho yake, kila anachoandika kinafutwa. Na ndege wewe unapeperuka 😅😅😅😅
hata najali sasa 😆😆hua ananisukumia masaa 3 kwanin hua hanionei huruma mtoto wa mwanaume mwenzie
 
hata najali sasa 😆😆hua ananisukumia masaa 3 kwanin hua hanionei huruma mtoto wa mwanaume mwenzie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe wewe ni ka kichaa sikuwa najua. Umenifanya nicheke jioni hii, asante.
 
Back
Top Bottom