Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Yaani mimi mbona sasa nimekoma kusaidia watu ๐๐๐๐ sasa kajiharibia, kila uzi wake wanamfutia. Aende tu kwa mbunge wake au akaombe kwwnye media tena.Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ngโo