Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We zombiiii haujuii
IMG-20240614-WA0002.jpg
 
😂😂😂 hamna wifi yoyote utakayekuwa naye sawa tyuu!! Wote fam
sema sasa ninaemtaka hanitaki😂😂ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously 😂😂😂😂😂😂
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
 
sema sasa ninaemtaka hanitaki😂😂ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously 😂😂😂😂😂😂
Weeh yupi huyo? 😂😂😂
Kumbe yupo unayemtaka??
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ng’o
 
Back
Top Bottom