Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,551
- 95,150
Halafu hujanimalizia story nawe dada ile ya kunangwa picha zetu 😂😂😂😂@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
Bora tujadili haya kuliko waomba misaada ni matapeli tu.