Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,090
Nasubiria wifi hiyo pic ๐๐๐unataka unitambulishe kwa mwingine sio๐๐๐nini unanikomalia ivi
Naona kaka yangu mwingine Mpaji Mungu anakulia mingo
Nasubiria wifi hiyo pic ๐๐๐unataka unitambulishe kwa mwingine sio๐๐๐nini unanikomalia ivi
Yeah humu tu๐๐๐๐ humu tuuh
Wenye uzi wao wamerejea hahahahaMmeanza tena kwa kweli mmeshindikana ๐๐๐
Wee mr likes hebu Tumuone mpiga picha pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!
Mahondaw warrraaaaapWee mr likes hebu Tumuone mpiga picha pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!
Sie wanywaji hapo ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐!
Baadaye Mahondaw na wewe nakupa assignment utupie mgongo huo baadae ๐Wozzzzzaaaaappp mr likes. Fanya manuva ๐คณ weekend Yangu iende vyediii pullliiizzzzzzzzzzzzzzz...!
Nakupendea hapo tuu Mahondaw ๐๐ฅ๐ฅ๐ฅHio badae kwioooo mfyuuu! Ole wako unidanganye sasa!
Mie trena selfika addict sema jingineee mgongo tu Limeisha hilooo
kumbe ndo zako kuniuza kwa kaka zako ๐๐๐ kwani unalipwa shingap wiiNasubiria wifi hiyo pic ๐๐๐
Naona kaka yangu mwingine Mpaji Mungu anakulia mingo
Gotcha ๐ฅUsizingue ๐คณ๐คณ yako kwanza lakiniii That's a condition!
๐๐๐ hamna wifi yoyote utakayekuwa naye sawa tyuu!! Wote famkumbe ndo zako kuniuza kwa kaka zako ๐๐๐ kwani unalipwa shingap wii
sema sasa ninaemtaka hanitaki๐๐ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ hamna wifi yoyote utakayekuwa naye sawa tyuu!! Wote fam
Weeh yupi huyo? ๐๐๐sema sasa ninaemtaka hanitaki๐๐ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously ๐๐๐๐๐๐
yupo yani nmemuandika kwenye karatasi namkanyaga kila siku nimmiliki lakin wapi๐๐๐Weeh yupi huyo? ๐๐๐
Kumbe yupo unayemtaka??
Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
Halafu hujanimalizia story nawe dada ile ya kunangwa picha zetu ๐๐๐๐@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...