Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We zombiiii haujuii
IMG-20240614-WA0002.jpg
 
kumbe ndo zako kuniuza kwa kaka zako ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwani unalipwa shingap wii
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hamna wifi yoyote utakayekuwa naye sawa tyuu!! Wote fam
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hamna wifi yoyote utakayekuwa naye sawa tyuu!! Wote fam
sema sasa ninaemtaka hanitaki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
 
sema sasa ninaemtaka hanitaki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ngoja nipambane nikishindwa nitakuomba msaada wifi,,yan wewe kwa namna yoyote lazima uje kua wifi seriously ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weeh yupi huyo? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kumbe yupo unayemtaka??
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
Kantibua mpk nilitamani Max angeweka sehemu ya voice note nimcharure..!! Katupotezea muda wetu kumuombea msaada kumbe sio muaminifu.
Sasa alivyokuwa anasema rafiki yake kumbe ni yy mwenyewe?? Nimemwambia had hapo husaidiki ngโ€™o
 
@Lomamy yule dogo wa kuomba msaada wa ada nimekuachia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kanishinda tabia. Why aliona aibu kujisema kuwa niyeye eti rafiki yake. Kwenye shida huwa kuna aibu kweli? Ngachoka, haoni wenzake wanafata watu kuwaomba hela PM. Atupishe...
Halafu hujanimalizia story nawe dada ile ya kunangwa picha zetu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Bora tujadili haya kuliko waomba misaada ni matapeli tu.
 
Back
Top Bottom